Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Kwamba uweke akiba ya elfu 3 kila siku bila kukosa hata siku moja kwa miaka mitano? Uyo msukuma toroli unajua anapata shilingi ngapi? baada ya kutoa matumizi yake unajua anabakiwa na shilingi ngapi? Bado hajaumwa(atahitaji hela ya matibabu na hataenda kibaruani) , hajalipa kodi ya geto, umeme n.k nyie motivesheni spika bhana [emoji3][emoji3][emoji3]
Bado hm aujatuma.
 
Sio kila asiyetoboa hana akili,

Maisha ni FUMBO kubwa sana
Sasa kama ma tabula rasa akina nanii ndio wakuu wa mikoa, waenezi wanangoa madokta kwenye nafasi zao, akina giggy money wana fanya biashara za uchi na wanakaa apprtments mikocheni wanalipa kwa dola, wakati kuna watu na digree zao mwaka wa 5 huu wapo wanazunguka na bahasha mikononi,
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Bakhresa ametajirika kwa kuuza chapati na maandazi.
Utajiri ni spritual.
Usikariri kila mtu akafanye biashara ya mbao.
 
Bakhresa ametajirika kwa kuuza chapati na maandazi.
Utajiri ni spritual.
Usikariri kila mtu akafanye biashara ya mbao.
Kuna waliofilisika kwa kuuza chapati na maandazi, tusikariri.

Wachaga zamani walikuwa na story zao sijui Mengi alianza kwa kuuza karanga, basi kila mkibosho akishuka mjini anauza karanga, karibu wote walikuja kufa maskini.

Ruge Mutahaba mwenyewe kwa kutumia jina la Diamond alileta diamond Karanga na ikafilisika.
 
Duh ina maana Dar ishakuwa saturated since 2000's!

Japo hii mentality ya kuhitaji connection naona tunayo sana sisi wabongo. Mbona wenzetu wasomali, wakenya, wa nigeria na wale wa west africa hua wanaenda nchi za watu, hakuna wanaemjua, wanapambana mpaka wanatoboa

Lakn sisi wabongo mtu kutoka tu hapo mwanza kuja dar anahtaji connection!!
Ukitaka kujua kuwa we si mtanzania Omba Passport.
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Mithali 30:8


8 Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

9 Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Acheni watu wahangaike na maisha kwa namna ambavyo ni halali bila kuvunja sheria hata kama anapata 5000 kwa siku, nani amekuambia kwamba watauza maji/popcorn maisha yao yote, kama wewe unafikiri umefanikiwa, waonyeshe njia ya mafanikio hatua kwa hatua sio kukandia

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
wewe mwandishi una utajiri kiasi gani? Siri ya biashara yoyote ni mauzo makubwa Kuna mtu namfahamu anauza mahindi ya kuchoma 200 kwa siku, hao wanaotembeza popcorn makumbusho ni wafanyakazi ina maana biashara inalipa wapo location nzuri sawa na mwenge ya zamani jamaa wanakunja 50k faida kwa siku maana kiroba cha mahindi 20kg kinaisha ndani ya siku 2 usilolijua ni sawa na usiku wa giza labda kama unachangamsha genge!
 
Acheni watu wahangaike na maisha kwa namna ambavyo ni halali bila kuvunja sheria hata kama anapata 5000 kwa siku, nani amekuambia kwamba watauza maji/popcorn maisha yao yote, kama wewe unafikiri umefanikiwa, waonyeshe njia ya mafanikio hatua kwa hatua sio kukandia

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kazi nyingi wanazo fanya vijana wa dar faida huwa zinaanzia 20k hadi 50k huwezi ishi kwa kipato cha elfu tano maisha ya dar

Nauli
Kula na kunywa
Kodi
Bili ya Maj na umeme

Braza utatoaje kwa hiyo elfu tano
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kuna watu dar wanapaona kama USA vile.
 
Back
Top Bottom