Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Umesaidia vijana wangapi wakakuloga?Tatizo hao vijana hawana nidhamu wana dharau wengine wana roho mbaya ukimsaidia akifanikiwa anaanza kukusema vibaya sana wengine anatamani kukuroga urudi uliko tokea, bora kuwaacha waendelee kuuza popcorn na maji barabarani.
Ni vizuri kuja na suluhisho mbadala na sio kuponda kazi za watuKuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kwamba uweke akiba ya elfu 3 kila siku bila kukosa hata siku moja kwa miaka mitano? Uyo msukuma toroli unajua anapata shilingi ngapi? baada ya kutoa matumizi yake unajua anabakiwa na shilingi ngapi? Bado hajaumwa(atahitaji hela ya matibabu na hataenda kibaruani) , hajalipa kodi ya geto, umeme n.k nyie motivesheni spika bhana [emoji3][emoji3][emoji3]ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!
mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi
kwa mwaka ana laki 8 na 40.
kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!
hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa
Duh ina maana Dar ishakuwa saturated since 2000's!Kila unapo kuja mjini bila konekisheni kutoboa sio rahisi wengi walio kuja miaka ya 2000 bila wenyeji wanao eleweka bado wako ubungo wengine mbezi magufuli wana sukuma turoli wengine wana uza maji wagine wapiga debe, maisha yanahitaji msaada ya mtu alio toboa, ni wachache wanao fanikiwa bila msaada wa ndgu jamaa au rafiki.
Aisee! mkuu ya kweli haya?Tatizo hao vijana hawana nidhamu wana dharau wengine wana roho mbaya ukimsaidia akifanikiwa anaanza kukusema vibaya sana wengine anatamani kukuroga urudi uliko tokea, bora kuwaacha waendelee kuuza popcorn na maji barabarani.
Bora wauza popcorn na maji kuliko panyaroad. Kwa hiyo unataka waache kuuza hizo bidhaa hata kama zina faida ndogo wajiunge na genge la panyaroad au?Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
we mwalimu upo katavi mambo ya vijana wa makumbusho yanakuhusu nini?Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Brother usiwalaumu kunamengi san nyuma yao amboyo wew hata hujayafahamu wew mshukuru mungu kwako wewe suala la akili kila mtu na mungu wakeKuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kwa huu mfumuko wa bei tunza hela miaka mi5 uone kama itakuja kutosha kununua hata pkpk. Purchasing power ya Tsh inashuka kila uchwao!!ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!
mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi
kwa mwaka ana laki 8 na 40.
kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!
hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa
5000 kwa siku ni kubwa sana kwa kijana aliyetoka Kigoma, Mtwara , Sumbawanga na mikoa mingine maskini.Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kwa miaka 5 huyo mwendesha mkokoteni , hapigi mademu wa kona baa na kwa wahaya pale Mwananyamala?ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!
mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi
kwa mwaka ana laki 8 na 40.
kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!
hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa