Kabisa, ndiyo maana ukipata nafasi ya kuwamaliza wachawi bora ufanye hivyoHao jamaa wasenge sana, wanaharibu sana future za watu.
https://jamii.app/JFUserGuide the wizardsKabisa, ndiyo maana ukipata nafasi ya kuwamaliza wachawi bora ufanye hivyo
Kwa maana wakikuwahi wao, wanaweza kukuharibia kesho yako wewe hadi na Watoto zako
Take them to hell
Ni maajabu sanaNashangaaga watu hawaamini kama uchawi upo ila wanaamini Mungu yupo
Uchawi sio swala la mwafrika Mkuu, ukitaka kujua hilo Tanzania tuna sheria ya kudhibiti uchawi iliyoletwa na mkoloni hata kabla ya kuzaliwa Baba wa taifa na mpaka leo ipo na inafanya kazi.Sasa mkuu wewe utasemaje mtu hana tatizo la akili kama huna taaluma husika? au unayo?
Na hayo mambo ya uchawi mbona waafrika tunayashikilia sana wakati hayaleti maendeleo?
Ndio unachangia utumbo kujikunja?Ulikula msosi mbovu