Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Haya sasa wale wa rara nikurenge mkuje kuna somo uku ati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee🙌Mbali na kuridhika Je? Ushawahi kufika kunako kilele mpaka uchafu mwingi ukakutoka mwilini?
Je? ushawahi kufika kileleni mpaka uchafu ukakutoka mwilini kwenye matundu yako yote?Mwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!
Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!
Huko kinembe mnakioataje wenzangu...ebu nielekezeni basi mwenzenu nami nimpate kuwa fundiMaelezo meeengi!
Kucheza na kinembe ndiyo kila kitu.
Angalau kila mwanaume akiweza zoezi la kinembe / clitoris orgasm + G-spot basi malalamiko yangepungua sana
Una point mwanawaneMwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!
Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!
Duh! Uko nyuma ya dunia mkuu yaan ndio kwanza upo jana wakati sisi tushaifikia leo 😄😄CHEKI KWENYE KONA KULIA CHINI
View attachment 3128348
Ni alfajir tayari nishaswali adhuhur bado haijafika pia leo ni ijumaaUmeswali swala ya adhuhuli?
Hongera sana ,ushatoboa maana sehemu ulipo ina time difference 14 Hrs 😀😀😀CHEKI KWENYE KONA KULIA CHINI
View attachment 3128348
Hongera sana komaaNi alfajir tayari nishaswali adhuhur bado haijafika pia leo ni ijumaa
Nenda kafanye kazi asubuhi hii! shauri yaheri
Heri yako wewe unayokazi mkuu sisi wengine ni majoblesNenda kafanye kazi asubuhi hii! shauri yako!
Mwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!
Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!
Mkono uliokulisha ndiyo uliokuchambia.Wachezea vi ne mbe mkumbuke kunawa na sabuni kabla ya kuvichezea mnawatia infection watoto wa watu.
Cha msingi kunawa kabla ya mchezoMkono uliokulisha ndiyo uliokuchambia.
Hii labda weweMkono uliokulisha ndiyo uliokuchambia.
Uko sahihi kabisa,usafi wa mikono kwa sabuni ni muhimu kwa zoezi la kunawa maana ile sehemu iko very delicate.Wachezea vi ne mbe mkumbuke kunawa na sabuni kabla ya kuvichezea mnawatia infection watoto wa watu.