Kijana Je, unajua namna ya kumundaa Mwanamke?

Kijana Je, unajua namna ya kumundaa Mwanamke?

Kumridhisha mtu usiye au asiye na hisia ni bora ukachome mkaa utauza upate pesa
Mbali na kuridhika Je? Ushawahi kufika kunako kilele mpaka uchafu mwingi ukakutoka mwilini?
 
Mwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!

Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!
Je? ushawahi kufika kileleni mpaka uchafu ukakutoka mwilini kwenye matundu yako yote?
 
Maelezo meeengi!

Kucheza na kinembe ndiyo kila kitu.

Angalau kila mwanaume akiweza zoezi la kinembe / clitoris orgasm + G-spot basi malalamiko yangepungua sana
Huko kinembe mnakioataje wenzangu...ebu nielekezeni basi mwenzenu nami nimpate kuwa fundi
 
Mwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!

Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!
Una point mwanawane
 
CCM ndio inapenda mambo haya kwa vijana w Tanganyika.
All the best
 
Mwanamke wa nyakati hizi haridhishwi na kumuandaa muda mrefuuuu au kumpelekea moto muda mrefuuuu, umepitwa na wakati wewe, nyakati hizi wewe kuwa na fedha za kutosha, mtunze na kumlea mwanamke kwa kila kitu, awe na uhakika wa fedha na wewe ni milionea hata kama sio bilionea, hapo mwanamke atakojoa kila mara ukikutana nae, kama ni mkeo utaona jinsi unapendwa, kama ni mchumba wako utaona jinsi hata goli moja tu anakojoa utashangaa..!!!

Why? Mapenzi ya nyakati hizi ni fedha za kutosha mwanaume uwe nazo, kisha mlee na kumtunza vema huyo mwanamke, uone jinsi utapendwa na atakavyo ridhika hutaamini, achana na mambo ya unyago sijui nini, hizo ni primitive age love style..!! We are in digital and AI age..!! Bby wako anakwambia naomba laki 5 nimtumie mama yake anaumwa sana alafu mwanaume huna au unaanza kuleta habari za unyago? Acheni ujinga, wanaume tafuteni fedha mtunze wanawake zenu, then love is automatic from there..!!

Pole kwa andiko refu
 
Kusema kweli vijana wengi wanafeli katika somo la maandalizi, kuna kijana mmoja alinitaka ushauri aliniambia ana tatizo anachukua muda mfupi sana kushusha wazungu na wakishashuka hawezi kuamsha tena mashine. Nikampa somo la maandalizi ikiwa nipamoja na kunawa akashangaa sana na kusema yeye ana kinyaa hawezi kufanya zoezi hilo kabisa yeye anachojua ni kupanda kama baiskeli tu. Nilijaribu kumpa mbinu nyingi lakini kama nilikuwa nampigia mbuzi gitaa maana yeye anasema akishasimamisha anachojua ni kulenga kishimo tu nikamwambia wazi kuwa kwa staili hiyo ndoa itamshinda la siyo atatombewa sana na wenzake.
 
Back
Top Bottom