Kijana Je, unajua namna ya kumundaa Mwanamke?

Kumridhisha mtu usiye au asiye na hisia ni bora ukachome mkaa utauza upate pesa
Mbali na kuridhika Je? Ushawahi kufika kunako kilele mpaka uchafu mwingi ukakutoka mwilini?
 
Je? ushawahi kufika kileleni mpaka uchafu ukakutoka mwilini kwenye matundu yako yote?
 
Maelezo meeengi!

Kucheza na kinembe ndiyo kila kitu.

Angalau kila mwanaume akiweza zoezi la kinembe / clitoris orgasm + G-spot basi malalamiko yangepungua sana
Huko kinembe mnakioataje wenzangu...ebu nielekezeni basi mwenzenu nami nimpate kuwa fundi
 
Una point mwanawane
 
CCM ndio inapenda mambo haya kwa vijana w Tanganyika.
All the best
 

Pole kwa andiko refu
 
Kusema kweli vijana wengi wanafeli katika somo la maandalizi, kuna kijana mmoja alinitaka ushauri aliniambia ana tatizo anachukua muda mfupi sana kushusha wazungu na wakishashuka hawezi kuamsha tena mashine. Nikampa somo la maandalizi ikiwa nipamoja na kunawa akashangaa sana na kusema yeye ana kinyaa hawezi kufanya zoezi hilo kabisa yeye anachojua ni kupanda kama baiskeli tu. Nilijaribu kumpa mbinu nyingi lakini kama nilikuwa nampigia mbuzi gitaa maana yeye anasema akishasimamisha anachojua ni kulenga kishimo tu nikamwambia wazi kuwa kwa staili hiyo ndoa itamshinda la siyo atatombewa sana na wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…