Kijana jitahidi ujifunze angalau lugha mbili za kimataifa

Kijana jitahidi ujifunze angalau lugha mbili za kimataifa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Najua sisi wabongo ni wazito mno kujifunza lugha za watu zaidi ya kiswahili na kiingereza ila niwahimize vijana kujitahidi kujua kiingereza na lugha nyingine moja ya kimataifa. Kwa mfanyabiashara/mjasiriamali makini lazima atajua umuhimu wa hiki ninachokisema.

Kwa Mtanzania jitahidi ujue kifaransa ili uweze kuwasiliana na wateja wa nchi zinazoongea kifaransa kama DRC na Burundi. Ukiweza jifunze na kichina.

Kimsingi faida za kujua lugha ni nyingi. Bahati nzuri siku hizi waweza jifunza mwenyewe mtandaoni. Kuna Apps kibaao za kujifunzia. Kuna hii inaitwa Duolingo ni nzuri. Kila la heri waungwana.
 
kingereza tu wanafundishwa for more than 10 years na hawaelewi sembuse izo lugha nyingine?

talking from little experience, wabongo tumejifungia sana nchini mwetu, unaeza kwenda vacation/business trip nchi za watu usikutane na mbongo hata mmoja hotelini au mtaani zaidi utakutana na wakenya, wanaija, wazulu, washona, wakongomani, wasomalia, waganda, wanyarwanda.

najua uchumi ni tatizo but wake up guys, come on. try
 
Najua sisi wabongo ni wazito mno kujifunza lugha za watu zaidi ya kiswahili na kiingereza ila niwahimize vijana kujitahidi kujua kiingereza na lugha nyingine moja ya kimataifa. Kwa mfanyabiashara/mjasiriamali makini lazima atajua umuhimu wa hiki ninachokisema.

Kwa Mtanzania jitahidi ujue kifaransa ili uweze kuwasiliana na wateja wa nchi zinazoongea kifaransa kama DRC na Burundi. Ukiweza jifunze na kichina.

Kimsingi faida za kujua lugha ni nyingi. Bahati nzuri siku hizi waweza jifunza mwenyewe mtandaoni. Kuna Apps kibaao za kujifunzia. Kuna hii inaitwa Duolingo ni nzuri. Kila la heri waungwana.
Ni ngumu
 
Najua sisi wabongo ni wazito mno kujifunza lugha za watu zaidi ya kiswahili na kiingereza ila niwahimize vijana kujitahidi kujua kiingereza na lugha nyingine moja ya kimataifa. Kwa mfanyabiashara/mjasiriamali makini lazima atajua umuhimu wa hiki ninachokisema.

Kwa Mtanzania jitahidi ujue kifaransa ili uweze kuwasiliana na wateja wa nchi zinazoongea kifaransa kama DRC na Burundi. Ukiweza jifunze na kichina.

Kimsingi faida za kujua lugha ni nyingi. Bahati nzuri siku hizi waweza jifunza mwenyewe mtandaoni. Kuna Apps kibaao za kujifunzia. Kuna hii inaitwa Duolingo ni nzuri. Kila la heri waungwana.
Tayari mimi hii wiki ya kwanza nimeamza lugha ya Pili
 
Lugha tutazijua tu, ngoja vita vikianza tutakuwa na muingiliano wa kutosha utajua kila lugha.

Umewahi kufika Burundi, au DRC?

Kule unaweza kuta mtoto anaongea lugha saba na hana elimu yoyote ya lugha ya darasani.
Hata DRC kwa sasa wanapambana sana kujua kiingereza. Wazambia naona wanapambana kujua kiswahili. Sisi tupo tu halafu wanasiasa wetu ndo wanataka kutumaliza kabisa kwa kusema kiswahili kiwe lugha ya kufundishia hadi chuo kikuu
 
kingereza tu wanafundishwa for more than 10 years na hawaelewi sembuse izo lugha nyingine?

talking from little experience, wabongo tumejifungia sana nchini mwetu, unaeza kwenda vacation/business trip nchi za watu usikutane na mbongo hata mmoja hotelini au mtaani zaidi utakutana na wakenya, wanaija, wazulu, washona, wakongomani, wasomalia, waganda, wanyarwanda.

najua uchumi ni tatizo but wake up guys, come on. try
Tumevimbiwa amani.
 
Back
Top Bottom