Kijana jitahidi ujifunze angalau lugha mbili za kimataifa

Kijana jitahidi ujifunze angalau lugha mbili za kimataifa

Tafuta pesa bana acha
Mbambamba
nmekua nikifuatilia mahojiano meng sana ya watu mashuhuri duniani na weng wao hanajua lugha moja tu walozaliwa nayo au waliko tokea

Ukiwa mtu muhimu au mtu mwenye mafanikio lugha huwa haina maana wala haisaidii kitu

CR7
Messy
Neymar
Raisi ya india
Raisi wa china
 
Tafuta pesa bana acha
Mbambamba
nmekua nikifuatilia mahojiano meng sana ya watu mashuhuri duniani na weng wao hanajua lugha moja tu walozaliwa nayo au waliko tokea

Ukiwa mtu muhimu au mtu mwenye mafanikio lugha huwa haina maana wala haisaidii kitu

CR7
Messy
Neymar
Raisi ya india
Raisi wa china
😂😂 yule mbunge musukuma wa la 7 tu ila anaendesha gari la kuagiza 0 kilometre na ana mpunga hatari, aisee no formula.
 
kingereza tu wanafundishwa for more than 10 years na hawaelewi sembuse izo lugha nyingine?

talking from little experience, wabongo tumejifungia sana nchini mwetu, unaeza kwenda vacation/business trip nchi za watu usikutane na mbongo hata mmoja hotelini au mtaani zaidi utakutana na wakenya, wanaija, wazulu, washona, wakongomani, wasomalia, waganda, wanyarwanda.

najua uchumi ni tatizo but wake up guys, come on. try
Duh
Noma sn
Ngoja nipambane
 
Hongera sana.

Ulianza na lugha ipi na unafata ipi, pia unatumia njia gani kujifunza?
kuwa najua kingereza then najifunza kifaransa. Natumia Youtube na Duolingo. Nimekosa mtu wa kupractise naye. Lakini bado najipa muda niweze kushika misamiati mingi na miundo kadhaa/ grammar.
 
Kuna umri ukifika kama huna kazi maalumu ya kukuingizia kipato basi jua utasumbua sana.

Vijana wa jf mifano munaiona humu humu kupitia mada mbali mbali unajua kabisa huyu mtu hali yake ya uchumi ipoje.

Chukueni kama mifano anza pambana pambana pambana..

Vijana tafuteni kazi umri unatuacha wewe ndio baba wa baadae.

Sio kufanya kazi tu fanya kazi ya kuvuja jasho
Hii post yako imetokana.na nini?
 
Tafuta pesa bana acha
Mbambamba
nmekua nikifuatilia mahojiano meng sana ya watu mashuhuri duniani na weng wao hanajua lugha moja tu walozaliwa nayo au waliko tokea

Ukiwa mtu muhimu au mtu mwenye mafanikio lugha huwa haina maana wala haisaidii kitu

CR7
Messy
Neymar
Raisi ya india
Raisi wa china
Unatupa mifano ya watu wasiozidi 100 vs watu 8bln dunia nzima? Tukufate
 
kuwa najua kingereza then najifunza kifaransa. Natumia Youtube na Duolingo. Nimekosa mtu wa kupractise naye. Lakini bado najipa muda niweze kushika misamiati mingi na miundo kadhaa/ grammar.
Nashukuru sana.

Nipo pia napambana na hizi lugha, tatizo nimekuwa mvivu sana na pia kuwa na watu wa kufanya nao mazoezi ni muhimu mno.

Kila la heri Mkuu.
 
Kuna lugha ya kuandika na kuongea.
Ni vitu viwili tofauti.

Kuna mtaalamu mmoja hivi aliniambia, ukiwa unazingatia grammar rules za lugha yeyote.lazima utapata shida kwenye kuzungumza.
 
Wako wangapi akina msukuma? Mpaka iwe funzo kwa wengine?
Wengi sana matajiri wafanyabiashara karibia wote hawajasoma kina Kishimba, madon wa migodi, ata wachina wakija huku si unaona wanatumia wakalimani which means ukiwa na hela utaeleweka tu unachotaka kusema
 
Back
Top Bottom