Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Kwaiyo ukifanya yote hayo ndo utatoboa miaka 70+?
Miaka 40+ uo umri sio kufanya ngono ni kula Bata kwa Sana.

Mimi nikipata Yale Maisha ya kulala vizuri msosi uhakika yaani hito 40 yrs hata bila ngono naishi fresh
Msiba huo..
 
Inabidi ujitunze sana,inaweza kusaidia kuukwepa,ingawa wa kurithi ni tatizo
 
Naomba mbinu ya kuuprinti Mkuu
 
mwagia moyo maji jamaa yangu usiogope magonjwa,hakuna aliyeishi milele
 
Pole sana Mkuu.
 
Hongera kwa bango zuri mkuu,

Sisi wenye 40+ tunakuelewa sana ila niongezee hapo kwenye kula healthy, mazoezi, mapumziko ya kutosha n.k tunatakiwa kuwa na uchumi imara.

Trust me, kama uchumi unayumba hasa ukiwa late 30s na early 40s kuna vitu vingi sana mwili utapata shida. Tengeneza investments zenye uhakika au ajira ambayo walau ni ya uhakika ili wakati huu uko 40s uweze kusomesha madogo bila tatizo, uwe na nyumba walau kodi isiwe tatizo, uwe na stable family nk.

Wazungu wanasema life begins at 40, wakimaanisha at 40 uneshamalizana na kashkashi za maisha, vijana wameenda shule wanamalizia huko but kibongobongo 40 ndio tunasomesha primary na secondary, wengine bahati mbaya hata nyumba hatuna..its hectic asee.
 

Na Mimi nimechomekea suala la ngono makusudical ili kufikisha kile nilichotaka watu wakipate.
 

Inatisha Sana. Unaweza ukapagawa Asee!
 
Inatisha Sana. Unaweza ukapagawa Asee!
Ndio maana wapo wanaojiua kabisa, uwezo wa kufanya maamuzi sahihi wanakosa, msongo wa mawazo, kipato duni, vijana wapo watano hujui pa kuwapeleka, madeni kila kona...asee ni shida ambiere!!
 
😀😀
Ukikaa na Watu wazima au Wazee ukazitambua changamoto zao huwezi ongea hivyo
nyerere yuko wapi?mugabe je?,samora mashel,mobutu,mkapa,magufuli,gadafi,sadam hussein na wengi tu,walikuwa wakipangiwa misosi lakini walidanji,,,,,kula pombe weyee
 
Wenye 40+ tunasoma huku tunasema inhiiiiiiii! Tunashukuru Mungu hata tukifika sehemu tukitaja umri watu wanabisha, kwamba we still look young and healthy. Vimichepuko ndio havitaki kusikia kuwa tunakaribia umri wa baba zao!
 
nyerere yuko wapi?mugabe je?,samora mashel,mobutu,mkapa,magufuli,gadafi,sadam hussein na wengi tu,walikuwa wakipangiwa misosi lakini walidanji,,,,,kula pombe weyee
Mkuu ulitaka waishi milele? Katika uliowataja wapo waliofika 90+. Saddam, Machel na Gaddaf waliuawa. Hakuna binadamu atakaeishi milele ila inauma wazazi kuzika watoto wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…