ROBERT HERIEL, wewe ni kijana mdogo sana, naweza kutabiri uko kwenye 20's, na ndio maana umri uliotaja wa miaka 40 unauona ni mkubwa kiasi cha kuutabiria magonjwa..
Miaka 40 ni umri mdogo sana, mimi nimeshaupita na bado naonekana mdogo,.. Sina hizo dalili za visukari sijui na vitu gani ulivyosema...
Nimeelezea hayo kwa sababu wewe unadhani mimi sijapata upeo wa kuchambua ulichokiandika..., ngoja nirudi kwenye mada..
Ulichokiandika kina uhalisia fulani, ulichoharibu tu ni kuweka msisitizo kwenye nguvu za kiume na kuchapiwa, hayo ni mawazo ya watoto wadogo, wanaowaza ''kusimamia kucha" ili usichapiwe.. Ukishafika umri wa utu uzima kama wangu, mambo hayo utayaona ni IRRELEVANT!