Kijana: Kama upo kwenye mahusiano, hakikisha una "marafiki" wengine angalau watatu nje

Kijana: Kama upo kwenye mahusiano, hakikisha una "marafiki" wengine angalau watatu nje

Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Umri wako tafadhari
 
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Kwanza umeenda mbali sana kusema uwe na marafiki wengine watatu binafsi mim naona hata usipokuwa naoo akizingua haina haja ya kumbembeleza we achana naeee tu kama sio domo zege sio mda utapata mwingne.

Sasa hivi wanawake wanatafuta wanaume kuliko wanaume wanavyotafuta wanawake so chill ma nigga[emoji16][emoji16]

Siku hizii madem ni kama chai tu[emoji16][emoji16]
 
Kwanza umeenda mbali sana kusema uwe na marafiki wengine watatu binafsi mim naona hata usipokuwa naoo akizingua haina haja ya kumbembeleza we achana naeee tu kama sio domo zege sio mda utapata mwingne.

Sasa hivi wanawake wanatafuta wanaume kuliko wanaume wanavyotafuta wanawake so chill ma nigga[emoji16][emoji16]

Siku hizii madem ni kama chai tu[emoji16][emoji16]

Ni kweli mkuu. Tatizo ukiwa nae mmoja chances za yeye kuzingua au wewe kuwa fala zinaongezeka mara dufu maana akili yako inakua ipo kwake tu, tofauti na ukiwa na options.
 
Ni kweli mkuu. Tatizo ukiwa nae mmoja chances za yeye kuzingua au wewe kuwa fala zinaongezeka mara dufu maana akili yako inakua ipo kwake tu, tofauti na ukiwa na options.
Yah ni kwel kabisa.
 
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Na vipi mkuu ukivusha ahadi za kukutana mwisho wa wiki kwa wiki Kama 3 nne hivi,
Maana mbwembwe Ni nyingi Sana.
 
Hapa hatuongelei swala la kutafuta furaha, tunachoongelea ni jinsi ya ku manage relationship na kupunguza msongo wa mawazo na matatizo yanayoepukika. Lakini pia tunaongelea jinsi ya ku maintain rship iweze kudumu muda mrefu bila migogoro.
Bado una utoto mwingi mkuu ukikua utaelewa, hivo vitu huwa vinawazwa na wavulana tu, ila watu matured hawako hivo mzee.
 
But zingatia hili plan (A) huuwawa na plan( B) hapo hakuna ndoa ni zinaa
 
Bado una utoto mwingi mkuu ukikua utaelewa, hivo vitu huwa vinawazwa na wavulana tu, ila watu matured hawako hivo mzee.
Soma vizuri kichwa cha habari mkuu. Ujumbe umeelekezwa kwa vijana. Nyie wazee hauwahusu.
 
Ndio hasa nnachokisisitiza hapa. Hakikisha unakua na marafiki wengine tena ikiwezekana wawe wazuri kuliko mpenzi wako na yeye alijue hilo. Na nikasema ukiweza kuwa unawamega pia ni vizuri itakusaidia kujenga stamina zaidi.
Eeeheee...hii sasa ndio hoja 🙏
 
Kama kuna ukweli flani ivi kwa asilimia flani ivi
Hakuna ukweli wowote,,ni mawazo mgando tu..

--Hakuna kitu kinaua mapenzi kama mwanamke ajuwe una mahusiano mengine nje..
Na yeye lazima atafute mwanaume nje apigwe..sasa kuna mapenzi hapo?

--katika suala zima la kupenda,,,hata uwe na wanawake 100 lakini kuna mwanamke 1 atasumbuwa sn akili zako.

Muhimu ni kutokuzama mzimz mzima kwa mwanamke.

Mpe moyo wako mwanamke 30% ,,
70% waza mambo mengine.

Utakuja kunishukuru.
 
Hakuna ukweli wowote,,ni mawazo mgando tu..

--Hakuna kitu kinaua mapenzi kama mwanamke ajuwe una mahusiano mengine nje..
Na yeye lazima atafute mwanaume nje apigwe..sasa kuna mapenzi hapo?

--katika suala zima la kupenda,,,hata uwe na wanawake 100 lakini kuna mwanamke 1 atasumbuwa sn akili zako.

Muhimu ni kutokuzama mzimz mzima kwa mwanamke.

Mpe moyo wako mwanamke 30% ,,
70% waza mambo mengine.

Utakuja kunishukuru.

Umenifurahisha jinsi ambavyo umeanza kwa kupinga, halafu vyote ulivyoeleza vinaunga mkono hoja. 😃

Mwanamke hatakiwi AJUE kama una mahusiano nje, anatakiwa AHISI. Idea hapa ni kumuweka roho juu awe haelewi kama unae au huna! Hii itamfanya mwanamke asibweteke maana anakua hana uhakika kama yuko peke yake ama la. Mwanamke akishakua na uhakika 100% kwamba yupo peke yake, ndipo matatizo yanapoanzia.

Vingine ni kama ulivyosema nakubaliana na wewe kabisa
 
Mwenye akili ataelewa,
Mimi nilikuwa na watano 2009 watatu mkoa mmoja wawili mikoa tofauti,
Ndoa nikafunga 2011 Safi na hakuna niliyemwacha na maaumivu!
Kuna mmoja tu alikuja kuniambia "kumbe ulikuwa serious"nikacheka sana alafu ndiye nilikuwa naye karibu sana.
Serious kwenye nini, ndie uliyemuoa?
 
“ Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage”.
Hii point kwa kweli ni added advantage katika uwasilishaji wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom