Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kidogo natofautiana na wewe. Mtaani ni kweli vijana ni wengi hakuna ajira isipokuwa kunautofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma. Angalia linapotokea jambo lolote namna uchangiaji wa mawazo au namna ya kujenga hoja.Uki graduate chuo umepigana na vita dhidi ya
Ujinga sio umaskini
Mtaa unakusubiri_ bahati mbaya ni kuwa mtaa haujui kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma
Mtaa lazima umpitishe Kila mtu kwenye tanuri la moto....
Mimi kidogo natofautiana na wewe. Mtaani ni kweli vijana ni wengi hakuna ajira isipokuwa kunautofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma. Angalia linapotokea jambo lolote namna uchangiaji wa mawazo au namna ya kujenga hoja.
Bahati mbaya mtaa hautambui chetiMimi kidogo natofautiana na wewe. Mtaani ni kweli vijana ni wengi hakuna ajira isipokuwa kunautofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma. Angalia linapotokea jambo lolote namna uchangiaji wa mawazo au namna ya kujenga hoja.
Uchawa utaanza kufundishwa mwakani Kwa ngazi ya certificate Hadi degree kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini, na Ada yake ni nafuu Sana msiwe na shakaVijana wanapaswa kunusa alama za nyakati , yani wawe wepesi kama Tai kwa sasa uchawa unalipa kinouma.
Ni kweli kabisa lakini sipingi hili ila nachosema aliyesoma na ambaye hajasoma kuna utofauti hata kama wote hawana kazi.kuchangia mawazo hakukufanyi upewe unga bure dukani kwa mangi
Familia haina uhusiano na kutoboa kwako bali nini umeifadhi kwenye akili yakoUnategemea na famili yako ya aina gani
Sasa kama machawa wasio na elimu yoyote wanatukana wasomi na utawala upo kimya, maana yake umebariki kada ya uchawa kuliko taaluma🤔Uchawa utaanza kufundishwa mwakani Kwa ngazi ya certificate Hadi degree kwenye vyuo mbalimbali hapa nchini, na Ada yake ni nafuu Sana msiwe na shaka
usipokuwa na fedha unadharaulika kuanzia ngazi ya kifamilia, kimtaa hadi kitaifa.Ni kweli kabisa lakini sipingi hili ila nachosema aliyesoma na ambaye hajasoma kuna utofauti hata kama wote hawana kazi.
Familia haina uhusiano na kutoboa kwako bali nini umeifadhi kwenye akili yako
Ila elimu ni bora kuliko kutokuwa na elimu maana Inakuongezea maarifa flani hata kama utakuwa jobless.Ni sawa cheti hakilipi bills ila msomi ni msomi tu hata akiamua kuiba anaiba kisomiNa cheti hakilipi bills, wakumbusheni hilo.