Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Naona hatuelewani. Nafikiri ninachokiandika kimezidi uwezo wa akili yakoNimekuambia wewe bado coz una fikra za kizamani.Hivi mpaka sasa unaamini kuwa ili uwe na maisha mazuri lazima uwe umesoma chuo kikuu??
Hoja yako ni dhaifu coz sasa hivi kuna population kubwa ya wasomi wa ngazi zote za elimu na hawana maisha mazuri.Umejiuliza kwa nini??
![]()
Harris joins calls for nondegree pathways
The vice president’s remarks at a recent rally reflect a broader conversation, in the Democratic Party and nationally, about who needs a degree and why.www.insidehighered.com