Kwahyo Sasa mwelage atizo jagha kho shule akale konumba kolya manomboNale na gana gamo doho? 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo Sasa mwelage atizo jagha kho shule akale konumba kolya manomboNale na gana gamo doho? 🤣🤣🤣
Mleta mada hana muda na mada wala hoja. Ishu hapa ni kipatoMimi kidogo natofautiana na wewe. Mtaani ni kweli vijana ni wengi hakuna ajira isipokuwa kunautofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma. Angalia linapotokea jambo lolote namna uchangiaji wa mawazo au namna ya kujenga hoja.
Na ukileta mirinda nyeusi utainywa mwenyeweusipokuwa na fedha unadharaulika kuanzia ngazi ya kifamilia, kimtaa hadi kitaifa.
Inategemea unataka kuajiriwa au kujiajiri.Aisee Ila Kama haujasoma na yenyewe ni changamoto Sana
Mimi naona Elimu yetu imenisaidia kitu kimoja tu Kuwa na fine tune
Na ukileta mirinda nyeusi utainywa mwenyewe
Apply wewe uwe billionaireVijana wanapaswa kunusa alama za nyakati , yani wawe wepesi kama Tai kwa sasa uchawa unalipa kinouma.
Kujenga hoja .... Kuna kupa kula?Mimi kidogo natofautiana na wewe. Mtaani ni kweli vijana ni wengi hakuna ajira isipokuwa kunautofauti kati ya msomi na ambaye hajasoma. Angalia linapotokea jambo lolote namna uchangiaji wa mawazo au namna ya kujenga hoja.
Sure kabisakuchangia mawazo hakukufanyi upewe unga bure dukani kwa mangi
kweli kabisaUki graduate chuo umepigana na vita dhidi ya
Ujinga sio umaskini
Mtaa unakusubiri_ bahati mbaya ni kuwa mtaa haujui kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma
Mtaa lazima umpitishe Kila mtu kwenye tanuri la moto....
Sihitaji kuwa billionaireApply wewe uwe billionaire
Huo utofauti ni upiNi kweli kabisa lakini sipingi hili ila nachosema aliyesoma na ambaye hajasoma kuna utofauti hata kama wote hawana kazi.
Wewe kama ni msomi basi unashida kubwa sana.Ni kweli kabisa lakini sipingi hili ila nachosema aliyesoma na ambaye hajasoma kuna utofauti hata kama wote hawana kazi.
wewe kijana maisha hayahitaji mapumziko,utapumzika kaburini.Tupokeane tu jaman mbna kama notion ya vita automatically kwenye vichwa vyenu
Anyway watanzania ni wamoja naimani hatuko hivo💪🙌
Mawazo yangu inadepend na vitu viwili
1. Uchumi wa nyumban, kuna mtu anasubiriwa tu agraduate lifanyike jambo
2. Aina ya course, nashuka mtaa na degree ya Afya🚑, nikikaa nyumban namaanisha napumzika kwa uchovu mkubwa wa safari yangu
3.(nyongeza) fursa mbalimbali zinazohitaji ABC za elimu na mengneyo
NB; Tusibaguane, ata maandish yang apo hayajabagua mtu nmejaribu tu kuongezea kwenye hoja na muweka uzi japo amejikita sana kwenye vjana wakija mtaan wata zagaa
Naamini as long as ni kijana fursa ziko nying kwa wote n kuchanganya tu akili na juhudi👍
Sio kweliFamilia haina uhusiano na kutoboa kwako bali nini umeifadhi kwenye akili yako
Mtaa una kanuni na sheria zake, wasomi wengi wanachelewa sana kuzijua coz wanakuwa wamebanwa kwenye mawazo ya kuta nne(darasa)!mtaa haujui kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma
Bado upo gizani, na umepumbazwa kuhusu vyeti ambavyo huko duniani wameanza kuvikataa! Umejiuliza kwa nini Elon Musk alitoa hii kauli???Vilevile waliosoma wanataabika kwa kipindi kifupi tu