Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Niogope nini sasa?Kwani huogopi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niogope nini sasa?Kwani huogopi
Ni wapi hapo unapoishiHapa kwangu kuna nyumba mishangazi inatuharibia watoto wetu.
Vijana wakichungulia tu ni kama madawa ya kulevya.
Mijimama haitaki wanaume saizi zao wanahangaika na vitoto vidogo.
Mafua tu, naona yameniletea homaPole na nini tena ?
PM yako umefunga sijui , ni PM basi
Mambo ya mapenzi ni ngumu sana kumshauri mtu. Nina imani anafanya hayo akiwa na akili zake timamu labda anaweza badilika huko mbeleni akihitaji kuoa.Mdogo kama kweli huwa unakula mishangazi halafu unavimba humu hiyo sifa nzuri, kwanini unajisifia kwa kufanya mambo ambayo hayakupi faida wala kukuongezea chochote?
Ukila unakula mishangazi yaani unakuwa makombo aisee, sijawahi wala kufikiria na hiyo mitego nishaikwepa sana aisee. Siwezi andika humu lakini hata sio sifa aisee.
Kelsea mshauri mdogo wetu huenda akakusikia na kubadirika
Dogo anatuendesha sana aisee hawa efumbulinism ni machachari sana 🤣🤣🤣Mambo ya mapenzi ni ngumu sana kumshauri mtu. Nina imani anafanya hayo akiwa na akili zake timamu labda anaweza badilika huko mbeleni akihitaji kuoa.
Pole sana 😪Mafua tu, naona yameniletea homa
Shukrani sana.Pole sana 😪
Mafua yanasumbua sana kipindi hiki, Mi mwenyewe kuna siku niliyapata sehemu tena niliingia kuangalia mpira tu nikatoka nayo