Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshangazi lazima uwe na T tatuMitamuuu hiyoooo TTT zote full burudani mwanawane
Age gap isiwe kubwa sana, unamzidi mdada 20yrs hata kufikiri kwenu sio sawa, hata mkikaa mahali unaona kabisa hampo compatible. Binafsi miaka kumi au chini ya hapo nakubali, ila huwezi kuwa 45 unable bana na katoto 20.Hiyo ndiyo kawaida labda wewe ndiyo wale wanashabikia taifa lifuate mfumo jike yana wanaume na wanawake wafuate mfumo jike ....kawaida ni mwanaume mkubwa kutembea na msichana mdogo na isiyo kawaida ni mwanamke mkubwa kutembea na mwanaume mdogo
Ni kweli kwa kiasi kikubwa mkuusio sababu, ili mwanaume achangamke anahitaji mwanamke wa kumchangamsha wa kumpa kash kadhi, sasa jimama mmesema limetilia kashi kashi inatoka wapi, mwanamke mtu mzima hawezi kukupa hasira za kutafuta maana anajua ukipata utamuacha ukatafute visichana vibichi vya size yako, atakufanya uwe tegemezi, làkini akikuchoka unafungishwa virago alfajiri kabisa
Wanapima upepo wao sokoni ila kimsingi ni aina flan ya upuuzi tuNadhani pia kuna movement ya chinichini ya mashangazi kujipigia promo ili ionekane kama yana cha maana na hivyo yaendelee kubaki sokoni.
Kwa ground uhalisia haupo hivoUna wachokoza wapenda wamama
Mashangazi Kwa sehemu kubwa ni kwenye story tu na wanaopenda kuzungumzia wanawish tu lakini hawana. Mishangazi ipo overratedLeo naunga mkono hoja.
My bro....we ndo huna... ishi na watu vizuriMashangazi Kwa sehemu kubwa ni kwenye story tu na wanaopenda kuzungumzia wanawish tu lakini hawana. Mishangazi ipo overrated
"Kawaida" Ni uhalalisho wa kile kilichokubalika na jamii moja. Kuna wengine ni kawaida kuoa binamu, kukeketa, mafiga matatu, kuua mapacha na walemavu etcHiyo ndiyo kawaida labda wewe ndiyo wale wanashabikia taifa lifuate mfumo jike yana wanaume na wanawake wafuate mfumo jike ....kawaida ni mwanaume mkubwa kutembea na msichana mdogo na isiyo kawaida ni mwanamke mkubwa kutembea na mwanaume mdogo
Sasa bwashe katika Hali ya kawaida hata ww ukiwa hana Hela, hauna mchongo unaouskilizia ramani zote zipo tasa unategemea utapata shangazi atakaekupa backup wakati huo kitu pekee ww unaoffer ni kuunganisha goal mbili.Ni maisha magumu ndio yanapelekea wajikute wanaangukia kwa mishangazi, ajira hamna, lakini pia akili zao hao vijana fursa wanayoona ni kubet, hawako tayari kujituma
Umeandika point sana. Mimi kuna binti ana miaka 19 na ana lishepu laana ila kumtafuna nashindwa kwa sababu bado yuko sekondari. Kwa sasa niko mapenzini na msichana mwenye miaka 51.Tumieni akili zenu vizuri ...serikali ndiyo imesababisha hayo mambo kutokana na sheria za kijinga ...mfano mvulana wa miaka 18 ndiyo kapewa ruhusa kusex na mwanamke sasa tujiulize huyu mvulana wa miaka 18 anatongoza msichana wa miaka mingapi ?kikawaida mvulana anatakiwa kutongoza wasichana wadogo chini yake ...sasa hapo kuna kingamo la kisheria linasema ni ubakaji kama huyo mvulana akiwaendea wasichana walio chini ya miaka 18 yaani wenye miaka 12 hadi 17 anatishiwa kifungo cha maisha na mara nyingi wasichana wanao kuwa karibu na mvulana wa 18y ni walio chini ya huo umri ..hivyo huyo mvulana analazimika kutumia nguvu nyingi kuwatongoza wasichana wakubwa wanao mwona yeye ni mdogo ...hiyo inasababisha mageuzi kisaikolojia kwa wavulana kuanza kuzoea kutongoza na kutembea na mishangazi kuliko walio chini ya umri wao
Wewe tutakufukuza hapa sasa hiviSasa bwashe katika Hali ya kawaida hata ww ukiwa hana Hela, hauna mchongo unaouskilizia ramani zote zipo tasa unategemea utapata shangazi atakaekupa backup wakati huo kitu pekee ww unaoffer ni kuunganisha goal mbili.
Msichana mwenye miaka 51..😂Umeandika point sana. Mimi kuna binti ana miaka 19 na ana lishepu laana ila kumtafuna nashindwa kwa sababu bado yuko sekondari. Kwa sasa niko mapenzini na msichana mwenye miaka 51.
Kipindi hiko nlikuwa goal keeper wa team ya mtaa nlijipatia huyo sijui tumuite mumama au mshangazi alikua anapenda mpira sana ndo alienifanya nikachukia sana haya mambo ya mijimamaMy bro....we ndo huna... ishi na watu vizuri
😂😂 Mshangazi wako upo humu?Wewe tutakufukuza hapa sasa hivi
AlifanyajeKipindi hiko nlikuwa goal keeper wa team ya mtaa nlijipatia huyo sijui tumuite mumama au mshangazi alikua anapenda mpira sana ndo alienifanya nikachukia sana haya mambo ya mijimama