Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Daah naona wahuni wanataka kupeana vitasa kweli hili Pambano si waliuze huko Azam wapate na mpunga wa kutosha na ikionekana promo zilianzia JF litauza balaa...
 
Wewe ndo ulimlaga Monica mchawi ?
 
Njoo tupigane na mimi nipo gamboshi huku nikupige za uso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…