Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Umeshaandaa wahuni wenzako una bakapu yakutosha unataka nijitokeze tu uniwahi, nshaelewa.Nime kuambia tukutane golden fork hutaki😄🤣🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshaandaa wahuni wenzako una bakapu yakutosha unataka nijitokeze tu uniwahi, nshaelewa.Nime kuambia tukutane golden fork hutaki😄🤣🤒
Kuna Jamaa huwa namjaza upepo atokee, I swear ndo ita kuwa bad day dream yake🤣🤣🤣😂.Umeshaandaa wahuni wenzako una bakapu yakutosha unataka nijitokeze tu uniwahi, nshaelewa.
Siwezi ogopa mtu anaeniita majina ya ajabu ajabuKuna Jamaa huwa namjaza upepo atokee, I swear ndo ita kuwa bad day dream yake🤣🤣🤣😂.
👉Hata wewe USI ogope 😂🤒
Sema arifu una uoga Sana🤣😂, Kama vipi tumwambie Mpaji Mungu atu peleke vitasa Azam tv😂🤒Siwezi ogopa mtu anaeniita majina ya ajabu ajabu
Afanye hivyo tu nataka niandike historiaSema arifu una uoga Sana🤣😂, Kama vipi tumwambie Mpaji Mungu atu peleke vitasa Azam tv😂🤒
Usipo kuwa makini uta geuzwa mbwa, 😂😄🤒Sema arifu una uoga Sana🤣😂, Kama vipi tumwambie Mpaji Mungu atu peleke vitasa Azam tv😂🤒
Wewe ndo ulimlaga Monica mchawi ?Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Jamaa kasema maneno machache ungana na mwenzio ni kitu rahisi tuHahahaha sawa naona huwezi andika kama mwanaume mpka umdhihaki mtu na jinsia ke [emoji23][emoji23]
Pambano litakuwa wapi nije na maji mengiUmeona wapi wakurya wanajua kupigana?
Hawa wanachotegemea silaha tu na tagi ,na uzuri kutoka huko bado hasumbui
Kamekuja inbox na mkuu mkuu nyingi, yani kanatingisha kibiriti .
Sasa kajaa huyu bwege ,atafurahi na show
Njoo tupigane na mimi nipo gamboshi huku nikupige za uso.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
SawaJamaa kasema maneno machache ungana na mwenzio ni kitu rahisi tu
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app