20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Jamaa alikimbiwa na nani hyo??Mwamba una kumbukumbu balaa [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikimbiwa na nani hyo??Mwamba una kumbukumbu balaa [emoji23]
Kweli mkuu , nilichanganya aseeKimara ama Banana?
Nimekumbuka yule jamaa alikuwa ana muongelesha mbovu Mwakinyo, anataka wachapane.Dah hapa sijui inakuwaje maana nyote nyie wanangu
Hebu tafuteni suluhisho achaneni na mambo ya sparing
Ova
Nimekumbuka yule jamaa alikuwa ana muongelesha mbovu Mwakinyo, anataka wachapane.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]UMEYATIMBA bwege wewe nakusubiri kwa hamu kesho
Nimekumbuka yule jamaa alikuwa ana muongelesha mbovu Mwakinyo, anataka wachapane.Hao kanda maalumu wakijichanganya tunawakanda vyema tu.
Kamekuja PM kananiambia kaka mara ooh mkuu tafuta sehemu watu wasinione nisaidie na nauli lakini Sina mia nyekundu hesabu ya bosi haijatimia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwahio unahisi kuna boya atadanjaMm nitakuja na camera ntakua na shoot....kule insta nina account huwa naweka clip za watu wanaokufa live
We jitambe tu hapo kwenye matenk ya mafuta sio mbaliNauza Humu jf😆😄😄🤣, Uzi lazima uende😄😆🤒
Nime kuambia tukutane golden fork hutaki😄🤣🤒We jitambe tu hapo kwenye matenk ya mafuta sio mbali