Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Wewe ni Mkurya si bure

Tuache hilo,

Una umri gani?

Una kazi gani ya kukuingizia kipato?

Una familia?
 
Kamekuja PM kananiambia kaka mara ooh mkuu tafuta sehemu watu wasinione nisaidie na nauli lakini Sina mia nyekundu hesabu ya bosi haijatimia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ngoja niweke hapa chatting za pm ili uaibike kibhombo wewe!
 
Kamekuja PM kananiambia kaka mara ooh mkuu tafuta sehemu watu wasinione nisaidie na nauli lakini Sina mia nyekundu hesabu ya bosi haijatimia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Wewe endelea kufuatilia maisha ya wanawake wenzio kina Mange kimambi,siyo kuja hapa JF na kusema unataka Sparring na mimi,Mimi nitakukeketa kwa Sime Kibhombo wewe!
 
Back
Top Bottom