Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA

Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.

Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.

Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!

Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!

Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.

Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
UMUGHAKA wa Bhaghaka, nakuaminia sana Ninja wangu. Umenifanya nicheke sana dah... Bhitah ni bhita
 
Wewe Kijana Hance Mtanashati acha blah blah huko Pm umesema nikutumie namba unitumie hela ya mafuta nikufuate ulipo,namba nimekutumia unaanza danàdana,nimekwambia mimi nahitaji kuzichapa na wewe leo Ijumaa,kesho nitakuwa kanisani,Halafu kwanini ung'ang'anie kesho?

Ujasoma uzi nimesema nitakuwepo kanisani?,Wewe sema ulipo mimi niwashe chombo nikufuate,Acha Blah blah!

Unapotaka kupigana na mtu huwa ina aaminisha umeshajiandaa,sasa blah blah za nini!,Mimi nahitaji pambano leo hii!.

Hakuna ajuaye kesho au kesho kutwa ataamkaje!

WEWE MWANAMKE Hance Mtanashati MIMI NAHITAJI PAMBANO LIWE LEO HII IJUMAA!
 
Wewe Kijana Hance Mtanashati acha blah blah huko Pm umesema nikutumie namba unitumie hela ya mafuta nikufuate ulipo,namba nimekutumia unaanza danàdana,nimekwambia mimi nahitaji kuzichapa na wewe leo Ijumaa,kesho nitakuwa kanisani,Halafu kwanini ung'ang'anie kesho?

Ujasoma uzi nimesema nitakuwepo kanisani?,Wewe sema ulipo mimi niwashe chombo nikufuate,Acha Blah blah!

Unapotaka kupigana na mtu huwa ina aaminisha umeshajiandaa,sasa blah blah za nini!,Mimi nahitaji pambano leo hii!.

Hakuna ajuaye kesho au kesho kutwa ataamkaje!

WEWE MWANAMKE Hance Mtanashati MIMI NAHITAJI PAMBANO LIWE LEO HII IJUMAA!
Nenda kanisani mkuu ugomvi hauna maana kwa sisi wapiga karate tunafundishwa kukimbia linapokuja suala la ugomvi
 
Kiwanja wap

Wewe Kijana Hance Mtanashati acha blah blah huko Pm umesema nikutumie namba unitumie hela ya mafuta nikufuate ulipo,namba nimekutumia unaanza danàdana,nimekwambia mimi nahitaji kuzichapa na wewe leo Ijumaa,kesho nitakuwa kanisani,Halafu kwanini ung'ang'anie kesho?

Ujasoma uzi nimesema nitakuwepo kanisani?,Wewe sema ulipo mimi niwashe chombo nikufuate,Acha Blah blah!

Unapotaka kupigana na mtu huwa ina aaminisha umeshajiandaa,sasa blah blah za nini!,Mimi nahitaji pambano leo hii!.

Hakuna ajuaye kesho au kesho kutwa ataamkaje!

WEWE MWANAMKE Hance Mtanashati MIMI NAHITAJI PAMBANO LIWE LEO HII IJUMAA!
Wewe bwege ACHA kuwadanganya watu umeomba nauli nikakwambia toa namba nikutumie nauli ukatoa kweli ukasema Leo hauna nauli.

Kesho ukasema kanisani, nikakwambia isiwe sababu tusogeze mbele mpaka Jumapili.

Hujajibi mpaka muda huu ,bwege kama wewe husumbui maneno maneno mengi kama muimba taarabu ila maajabu huna
 
Hahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.
Wewe ndio muoga kwanini ulimwambia kabla ,ungefabya kila njia muonane kwanza
 
Wewe bwege ACHA kuwadanganya watu umeomba nauli nikakwambia toa namba nikutumie nauli ukatoa kweli ukasema Leo hauna nauli.

Kesho ukasema kanisani, nikakwambia isiwe sababu tusogeze mbele mpaka Jumapili.

Hujajibi mpaka muda huu ,bwege kama wewe husumbui maneno maneno mengi kama muimba taarabu ila maajabu huna

Usiende PM pengine ukawadanganya watu!

Nimekwambia mimi nahitaji pambano na wewe leo,kwanini useme Jumapili?

Ok,Kesho nimehairisha kwenda kanisani,tuma nauli nije upatakapo wewe nije nikuonyeshe namna mwanamke anavyopigwa!.

Nina hasira sana!
 
Wewe bwege ACHA kuwadanganya watu umeomba nauli nikakwambia toa namba nikutumie nauli ukatoa kweli ukasema Leo hauna nauli.

Kesho ukasema kanisani, nikakwambia isiwe sababu tusogeze mbele mpaka Jumapili.

Hujajibi mpaka muda huu ,bwege kama wewe husumbui maneno maneno mengi kama muimba taarabu ila maajabu huna

Wewe Mwanamke Hance Mtanashati Kesho nimehairisha rasmi kwenda Kanisani kwa ajili yako Kibhombo wewe!

Tuma hiyo Hela ya Mafuta nijaze wese kabisa niwe tayari na unipe maelekezo wapi pa kuonana,mimi hata ukitaka iwe kwenu wewe sema nitakuja hadi kwenu!

Usiende PM nasubiri majibu hapa!

Kwasababu umegoma leo na kesho nikasema naenda kanisani ukadhani nakukimbia,sasa kesho kanisani nimeahirisha kwenda,nasubiri majibu!

Namba nishakutumia maana ulidhani nitashindwa kukutumia namba!

ACHA BLAH BLAH NASUBIRI MAJIBU!
 
Hii ni idea poa sana, Naomba tutengenezewe jukwaa la sparring humu ili wale mnaojikuta expert wa keyboard na kutukana watu tuwe tunaonana face to face tutukanane livelive tukiwa tumevaa Gloves... Gademit
Jomba utakuja kufa. Mimi mtu akitaka nletea wenge fresh nampa location ila ujue mimi situmii nguvu. Paru tu chap nikikuonea huruma vidagger vya mapaja ukasikilizie mbele.
 
Back
Top Bottom