Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Mwenzio kajinyonga kisa kuachwa ,achana na mambo ya kijijini kupigana ni ushamba .

Bado una akili za kijijini kwenu .
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA

Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.

Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.

Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!

Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!

Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.

Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Huu uzi bila screen shot ya text uliyomtumia PM ni batili.
 
Hivi ni mwanaume au mwanamke? Ile ID stories zake ni za kike kike, umbea sana n.k
Hance kama cocastic nikimaanisha stori wanazopenda kasoro moja tu.

Hance anapenda sana stori za gigy money, harmonize, kwa kifupi vtu vya umbea umbea pitia nyuz zake zote utaona.

Kwa kusema ni kijana anayezidi 25 sina hakika,
Kama ni ID. Ya kiume nitashangaa sana maana wanaopenda stori za vile wanaume mara nyingi ni wale wanalipwa
 
Hance kama cocastic nikimaanisha stori wanazopenda kasoro moja tu.

Hance anapenda sana stori za gigy money, harmonize, kwa kifupi vtu vya umbea umbea pitia nyuz zake zote utaona.

Kwa kusema ni kijana anayezidi 25 sina hakika,
Kama ni ID. Ya kiume nitashangaa sana maana wanaopenda stori za vile wanaume mara nyingi ni wale wanalipwa
Ooooh.... Aiseee... Huwa nashangaa sana. Kumbe ndo wale wale... Wamekuwa wengi sana.
 
Alianza comrade NALIA NGWENA huyu alifika mpk banana kwenye viwanja vya airwings pambano halikufanyika.

Leo tunasikia kuhusu UMUGHAKA na Hance Mtanashati .Hili pambano litakuwa bora kwa wakat wote mnatak ufadhili gan msipewe humu.

Kuna thread moja humu walisema kuna watu walikutana wakazchapa il mmoja akatumia rungu lililosababisha mwengne kukimbia.

Nawaomba tu hii ni fist fight pambano liwe fair.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA

Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.

Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.

Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!

Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!

Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.

Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Vizuri sana.

Nakukaribisha kwa mikono miwili.

Jumamosi jioni tukutane.
 
Ukisikia Wakurya wanavyotamba utafikiri Wana nguvu. Ukiwatisha kidogo tu wanakimbilia visu. Basi Kuna mmoja akajichanganya kwangu nipo baa na K Vant ziishanipanda hapa Jijini Mwanza, nikampa jabs za kutosha akakaa chini eti akaanza kusema " kumbe Wahaya mna nguvu...!" Pumbavu!!!
 
Hivi uliwahi kuwaza, mambo haya kwa kitendo cha kuwaza kukutana kishari (kiugomvi) na mtu usiyemjua.

1.kupigwa manati (pistol)kipindi simu ipo sikioni ukimsaka muhusika.

2.Kuitiwa mwizi ili mradi tu ukomeshwe, hata kama hujaiba

3.Kukamatwa na kundi la wahuni Kisha kulawitiwa huku ukirekodiwa .

UMUGHAKA wewe ni moja ya watu ambao nilipanga hata kukutana na wewe tubadilishane mawazo. Kutokana uandishi wa simulizi zako.

Sasa mbona unaniangusha homeboy nani ka hack I'd yako.

Mbona kama hujiamini , kwanini uwaze kupigana kiboya.

Labda kama huu uzi upo kiutani .
Mwanamke tu huyu hasumbui.
 
Back
Top Bottom