Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo ameharibika sana siku zinavyozidi kwenda ndo anadhirisha alipata athari kubwa sana.Sasa unapambana vipi na kimvuli? Mtu hata humjui anakusumbua eti mkutane mpigane…sasa ukienda ukachomwa visu? Huo ndio naita ni wehu na kuwehuka watu hata hamjuani mnagombana vipi?……..Mnaumwa nyie….
Huu uzi bila screen shot ya text uliyomtumia PM ni batili.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Hance kama cocastic nikimaanisha stori wanazopenda kasoro moja tu.Hivi ni mwanaume au mwanamke? Ile ID stories zake ni za kike kike, umbea sana n.k
Ooooh.... Aiseee... Huwa nashangaa sana. Kumbe ndo wale wale... Wamekuwa wengi sana.Hance kama cocastic nikimaanisha stori wanazopenda kasoro moja tu.
Hance anapenda sana stori za gigy money, harmonize, kwa kifupi vtu vya umbea umbea pitia nyuz zake zote utaona.
Kwa kusema ni kijana anayezidi 25 sina hakika,
Kama ni ID. Ya kiume nitashangaa sana maana wanaopenda stori za vile wanaume mara nyingi ni wale wanalipwa
Vizuri sana.Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Maneno mengi tu huyu hasumbui.Uwiii nimecheka! Mura unapenda ugomvi. 😂😂😂😂
Mwanamke tu huyu hasumbui.Hivi uliwahi kuwaza, mambo haya kwa kitendo cha kuwaza kukutana kishari (kiugomvi) na mtu usiyemjua.
1.kupigwa manati (pistol)kipindi simu ipo sikioni ukimsaka muhusika.
2.Kuitiwa mwizi ili mradi tu ukomeshwe, hata kama hujaiba
3.Kukamatwa na kundi la wahuni Kisha kulawitiwa huku ukirekodiwa .
UMUGHAKA wewe ni moja ya watu ambao nilipanga hata kukutana na wewe tubadilishane mawazo. Kutokana uandishi wa simulizi zako.
Sasa mbona unaniangusha homeboy nani ka hack I'd yako.
Mbona kama hujiamini , kwanini uwaze kupigana kiboya.
Labda kama huu uzi upo kiutani .
ItajulikanaHivi ni mwanaume au mwanamke? Ile ID stories zake ni za kike kike, umbea sana n.k
Au sioUtamuharibu kabisa anavyoonekana kwa muandiko tuu ni mtu softy...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nianze na kula tizi kabisa napasua tofali kwa kichwa kama jet lee, watu lazima tushikishane adabu
Raha ya vikombe vigongwe bea bea 😀 gloves zitaharibu ladha ya nako!Napendekeza gloves ili mtu avimbiane bila vidonda maana akitoka mangeu inaleta picha ya kesi ya kujaribu kuua😁