kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Dunia ina mambo mengi sana hiiWatupe location sie tukashuhudie😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia ina mambo mengi sana hiiWatupe location sie tukashuhudie😀
😂 kaufyataHahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.
UMUGHAKA Jamaa kajileta huku.Mpaka leo hana hamu na mimi. Na bahati nzuri anaifahamu mikito yangu ya kiroho mbaya...
MurahNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA
Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.
Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.
Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!
Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!
Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.
Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
Ni karateka, AnapigaaaaHance stori zake nyingi ni za umbea wa lulu na diamond
sawa tusubiri majibu ya pambano laoNi karateka, Anapigaaaa
Mie nitajitolea kuirusha live bila chengaKitambo sijaona ngumi za mtaani, mie nitajitolea uwanja wa kupigania..
Maji ya kunywa, dawa za huduma ya kwanza, natoa mimi.Mie nitajitolea kuirusha live bila chenga
Hivi ni mwanaume au mwanamke? Ile ID stories zake ni za kike kike, umbea sana n.kHance stori zake nyingi ni za umbea wa lulu na diamond
Umeona eeeh.... Sisi wapemba tunatizama tuna sema hiiiiiiii...... Kwisha kabisa. Mjini hapa watu wanaharibiwa sana. Unakuta mtu huko nyuma hakuwa hivyo... Sasa ndo anaendana na mapigo ya mjini... Tayari kesha habari yake. Ndo basi tena, ndo hivyo.UMUGHAKA mbona nawe umeanza tabia za kipopoma za vitisho vitisho kumbe hamna kitu.