Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Kijana Mmoja ameomba Sparring na mimi,kiukweli nimefurahi mno kwasababu nataka nimuonyeshe kwanini niliitwa UMUGHAKA

Najitolea kuwa shahidi, popote pale mtakapokuwa nipo tayari kuwa shahidi….!!!!
Mambo ya kushuhudia nayapenda sana, so mtanijulisha nije na camera za aina gani na ngapi, ili kama vipi nijue hii alphard naweka mafuta ya bei gani na vijana wangpi wabebe camera ili tunase matukio yote kila angle!!!

Safi sana mkuu,Ngoja kwanza jamaa ajibu
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kukuongoza kijana Hance Mtanashati kwa kuomba kufanya Sparring na mimi,haya ndiyo mambo nipendayo UMUGHAKA

Nimewahi kumuomba ndugu yako Sparring lakini akaingia mitini na kuendelea kunitukana!.

Nashukuru sana kwa wewe kuwa jasiri na kutaka Sparring na mimi!.

Nimekutumia sms pm (Inbox) kama ulivyotaka na maelezo yote nimeweka hapo lakini naona kimya!

Kama itawezekana naomba iwe kesho kabla ya jua kuzama maana mwenzio ni Msabato,kama ikishindikana kesho basi tafuta muda na siku utakayoona inafaa!

Ukitaka wawepo mashahidi kadhaa kutoka hapa JF itakuwa vema lakini pia ukitaka tuwe sisi wawili nadhani itakuwa vema zaidi ili mmoja akichakaa amkimbie mwenzie,asiwepo wa kutuachanisha.

Nimekutumia sms pm nasubiri majibu!
😂
 
Wananianza wenyewe mkuu!
Mm nakujua wewe ni mtu Mpole kwa nn mpigane vitasa mkuu. Au kuchoka kimaisha, maana kama una mambo mengi na schedules zako hauwez upange mpigane vitasa njiani. Kwahiyo mnachaguaga ndani ya vituo vya mwendokazlsi??

Mm nakumbuka niliogana vitasa na kinda wa daladala ya bunju kawe. Tulikwenda kuamuliwa kawe kituo cha polisi. Nilimsingizia kutaka kunibaka
 
Nyie na ngumi zenu za stegini..nawapiga wote..mimi napigana street fight..sasa. Njoeni na ngumi zenu za kustyle kama dancing nawakalisha wote.
 
Hahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.
Haahhahaa Dah jF never boring
 
Back
Top Bottom