Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Magic shaver au hair removal ndio natumiaga, unapaka alafu nachukua dude fulani kukwandua ni kama na massage hvkwamba unanyoa na nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magic shaver au hair removal ndio natumiaga, unapaka alafu nachukua dude fulani kukwandua ni kama na massage hvkwamba unanyoa na nn?
Unataka umnyoeekumbe huwa unanyoa... mbona una kibania sasa hicho kinyeo...!
Nanyoa ili niwe safi, sipendi kunaka majasho ikitokea nimekaa uchi watu waone niko safi,. Kwani nywele za kwapa tunanyoa ili iweje? Nani anaziona?Izo hazinyolewi kabisaa alaah mwanaume unaanzaje kuzitoa iwe kwa shaver au magic unataka nani akuone palivyopendeza, huwa zinapunguwa zenyewe labda kama zimerefuka sana ziprone na mkasi
Nywele za kwapa unamnyolea nani?Acha ujinga unamnyolea Nan nywele za nyuma???
Mafuta muhimu pawe laini, kwani ww hupaki mafuta mwilini? Kazi ya mafuta kulainisha ngozi na kunalisha na kule mm napaka vzr tena ninayo mazuri ya kuteleza na kufanya pawe safi wakat woteSawa si unyoe upake na mafuta
WananyoaaSiwezi kaa na uchafu, kwa vyovyote vile lazima ziondoke.
Ajabu sana Ke wao hawana.
Mbona kwenye kwapa unanyoaKwani mungu mjinga mpaka akatuoteshea hayo mavumba nyuma kwani mbona aliacha kuyaotesha kwenye fimbo zetu mpk ayaweke huko nyuma anazo sababu zake
Kila mtu na maisha yakeHumu mbona mnapangiana maisha?
Na unapooga inapaswa na kwenyew pasafishwe sana na kupaka mafuta ili pavutie pawe lainiKama unavyonyoa mavuzi na kwapa vivyo hivyo nywele za matakoni zinafaa kunyolewa. Utabeba mavi na bacteria wanaozaliana kwa jasho. Usafi wa matako ni sawa na usafi wa viungo vingine vya mwili.
Na govi lisitolewe kabisaaBasi tusikate kucha, tusipige mswaki, ikiwezekana tusioge pia. Kucha, ugavu wa meno na jasho ni vitu special ati
HakunaHivi ukinyoaa kuna madhara gani na usiponyoaa kuna faida gan???
Ni matakwa ya mtu haina uhusiano na kunyoa nyumaUtafumuliwa Sega
Maamuzi ya mtu hayo usitesekeVUZI LA NYA YA MWANAUME HALINYOLEWI KAMWE.
MSAFISHA NJIA DAIMA HUTARAJIA WAPITAJI.
Kuolewa kawaida, ni hisia ya mtuSijajua kama kuna watu wanayoa hizo nywele, lakini isiwe kigezo
Kama mtu una itikadi za kupelekewa moto hata usiponyoa utataka tu hiyo michezo ya kifirauni
Cha msingi ni mtoto wa kiume kujitambua na kuwa na mikazo, ukijilegeza legeza utaolewa tu
Waongezee sauti wasikieKumbe uchafu una uspecial mkuu? Yaani kama mnafuga hizo nywele mna matatizo sana, ni kero balaa.
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuu
Nakazia Hapo kwenye kupanda panda juu ya meza kucheza Miso Misondo na mitaa kukubariki jina la Kijana Wa Hovyo pigia mstari.🤣Wanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
Pawe safi laini nyororo, kwanini unaoga wewe? Na kwani unanyoa vuzi la kwapaUnanyoa vuzi na puru ili iweje yani?