Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Mada ina ukakasi hii! Anyways hivi huwa zipo eenhe sijawahi ona 🤔🤔🤔
Hii mada ni X rated, unafanya nini mitaa hii binti "usiyesikia" 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada ina ukakasi hii! Anyways hivi huwa zipo eenhe sijawahi ona 🤔🤔🤔
Kwa wewe jinsia ganiThread ya kufikirika hii,unakuwa mkao gani na unatumia nini kufanya hivyo? Kwanza sisi wengine hatujui kama kuna nywele za namna hiyo.
Hakuna kitu kama hichoMimi ni kijana wa mkoani na huwa nanyoa nywele sehemu zote zinazopaswa kunyolewa including nywele za makalioni. Mtu unakaa na nywele hadi zinaota ukungu uchafu mtupu. Mkipata fungus mnaenda kuwabong’olea madaktari wawakague wawape dawa[emoji28] tuepuke aibu ndogondogo zinazosababishwa na uchafu unaoweza kuepukika.
Katika Djnia hii hakuna Wazee waliokuwa wahovyo kama Wazee wetu weusiInavoonekana hao wazee walikua wanawaza ngono tu...Wakati wazee wenzao wa Ulaya,China,USA na kwingineko walikuwa wanavumbua mambo...wanatengeneza na kuanzisha biashara wanakuza mataifa yao....ndo maana tuko hapa..hata kujitawala hatuwezi..full kupotezana..
Zinapunguzwa Tuuuu hazinyolewiiiiiiAstaghafiluAllah kijana NYWELE ZA NYUMA hazinyolewi kabisa enyi vijana wa hovyo ni hadhina ya TAIFA HIYO
Kunyoa ni dalili ya ushoga哦呵次 烏克那三年痾其他吃惱怒誒Mimi sijui kuhusu hizo nywele za nyuma, ila nachojua ni kwamba aandaaye bustani basi anatarajia Wageni, naomba niishie hapa.
Mi mwenyewe mkubwa vooo (kwa lafudhi ya unguja) 😅😅😅Hii mada ni X rated, unafanya nini mitaa hii binti "usiyesikia" 😁😁
Picha tafadhali ili tujifunze inakuwaje!Wanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
[emoji3][emoji3][emoji3] hajui kupunguza ukali wa maneno haaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] We jamaa huwa hujui kitu kinaitwa Tafsida Asilani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duu jamaniMikoani zinaitwa Makata mavi, ukimaliza kuchamba inabidi uinuke kidogo af utingishe tako kama kuku aliyenyeshewa ili kupunguza maji [emoji23][emoji23][emoji23]
acha upuuzi we kenge, unataka picha kwenye mausia?Picha
Aisee! Nimecheka kibwege sana.Mimi sijui kuhusu hizo nywele za nyuma, ila nachojua ni kwamba aandaaye bustani basi anatarajia Wageni, naomba niishie hapa.
Bila shaka hio ass hua unaisafisha na kile kibomba Cha ku-spray ndio maana huwezi kujua.
Tatizo ni umedandia treni kwa mbele, hauwezi kuwa na mikazo halafu utake kukazwa unless uwe mchelemcheleWapo walio kaza na wameolewa pia.
Ndo maana mnashindwa namna ya kupambana na ushoga, mnawaza kizamani.
Watu wameshatoka huko kitamboo.