Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
😍Asante. Hata hii inatosha. Ngoja niendelee kuinywa polepole huku nikisoma comments.Ya apple hamna, tupate hii ya machungwa 😁View attachment 2873804
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍Asante. Hata hii inatosha. Ngoja niendelee kuinywa polepole huku nikisoma comments.Ya apple hamna, tupate hii ya machungwa 😁View attachment 2873804
Nikiachika kwa msukuma mbishi yule niandalie plan B 😂😂😂Mfanyie uzungu Baba chanja muende 69.
Utaona kichaka kilichozunguka mlango wa kimba😂😂😂😂
Kumbe uchafu una uspecial mkuu? Yaani kama mnafuga hizo nywele mna matatizo sana, ni kero balaa.Ndio ujue hizo special hupaswi kuzitoa
Kwaiyo uunataka kuziona? Mwambie mr abongoe uzione ila fanya at your own risk😂😂😂Mada ina ukakasi hii! Anyways hivi huwa zipo eenhe sijawahi ona 🤔🤔🤔
Kama hawaupata ujumbe basi hawaupati tena.Wanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
Hakika at my own risk! 😂😂😂😂Kwaiyo uunataka kuziona? Mwambie mr abongoe uzione ila fanya at your own risk😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Aliekwambia tunanyoa na wembe nani na wewe, si kiwembe kitachana marinda yangu, tuna nyoa na magic shaver, nikirudi nyumban nitakupigia picha uamini.
🤣Welcome to the comment section, what would you like to drink?
Bila shaka hio ass hua unaisafisha na kile kibomba Cha ku-spray ndio maana huwezi kujua.Unapaangaliaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuuAliekwambia tunanyoa na wembe nani na wewe, si kiwembe kitachana marinda yangu, tuna nyoa na magic shaver, nikirudi nyumban nitakupigia picha uamini.
Ndo maana ake, ktk uzi wake wote kajadili ngono, kuzaa holela na ushoga. BasInavoonekana hao wazee walikua wanawaza ngono tu...Wakati wazee wenzao wa Ulaya,China,USA na kwingineko walikuwa wanavumbua mambo...wanatengeneza na kuanzisha biashara wanakuza mataifa yao....ndo maana tuko hapa..hata kujitawala hatuwezi..full kupotezana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mikoani zinaitwa Makata mavi, ukimaliza kuchamba inabidi uinuke kidogo af utingishe tako kama kuku aliyenyeshewa ili kupunguza maji [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimenyoa na kupaka
Wapo walio kaza na wameolewa pia.Sijajua kama kuna watu wanayoa hizo nywele, lakini isiwe kigezo
Kama mtu una itikadi za kupelekewa moto hata usiponyoa utataka tu hiyo michezo ya kifirauni
Cha msingi ni mtoto wa kiume kujitambua na kuwa na mikazo, ukijilegeza legeza utaolewa tu
Haya nyoa basi mkuu vijana wa dar ndio mlivyo