Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
- Thread starter
- #101
Aya si unyoe upake na mafuta ya samliKwenye makwapa,mavuzi mbele nk kote amekuoteshea,unayanyoa ya nini? Unakata govi la nini si uache ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya si unyoe upake na mafuta ya samliKwenye makwapa,mavuzi mbele nk kote amekuoteshea,unayanyoa ya nini? Unakata govi la nini si uache ?
Nimenyoa na kupakaAya si unyoe upake na mafuta ya samli
DuuhPicha
AstaghafiluAllah kijana NYWELE ZA NYUMA hazinyolewi kabisa enyi vijana wa hovyo ni hadhina ya TAIFA HIYO
Mimi peke yangu nikiwa nimejikomboa kifikra ila nikazungukwa na mbumbumbu haiwezi kufanya kazi... Na katika hiyo history kuna topics so, mimi nazungumzia Colonialism na sio Evolution of man.... Katika hizo topic mbili kuna ambayo imenyooka na inayosadifu uhalisia wetu wa kiakili toka zamani ndo sababu ukifuatilia machief waliozungumzwa huko ni kweli walikuwepo ila hizo habari za tulikuwa nyani ni imaginary storiesUngekuwa sio mtumwa fikra nchi hii tungekuwa mbali sana ni kweli huamini walosema wazee wako ila unaamini wewe uliwai kuwa nyani kila liandikwalo katika karatasi ukalisoma na ukarikubar ni utumwa ikiwa Hauna uthibitsho bila shaka ulisoma historia je ww n nyani..!?
Ndio ujue hizo special hupaswi kuzitoa
Haya nyoa basi mkuu vijana wa dar ndio mlivyoBasi tusikate kucha, tusipige mswaki, ikiwezekana tusioge pia. Kucha, ugavu wa meno na jasho ni vitu special ati
Nyoa utajuaHivi ukinyoaa kuna madhara gani na usiponyoaa kuna faida gan???
Usikimbie ndugu. Rudi upate ilimu.Samahani waheshimiwa
Nimepotea njia..!😅
🏃♂️
A glass of apple juice please!Welcome to the comment section, what would you like to drink?
Elimu gani rafiki? Ndevu za kijambio haziguswi.Usikimbie ndugu. Rudi upate ilimu.
Utafumuliwa SegaHivi ukinyoaa kuna madhara gani na usiponyoaa kuna faida gan???
Ya apple hamna, tupate hii ya machungwa 😁A glass of apple juice please!
Unawaza ngono tu.Wanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
Sijajua kama kuna watu wanayoa hizo nywele, lakini isiwe kigezoWanaume wenzangu karibu hapa tujadili ya yakale ya wazee wetu vijana wengi siku hizi hawana adabu wala hawataki kushika maneno ya wazee wao vijana wanyoa "QADHA" vijana wasiosikia la mzazi, vijana wabishi hakuna wasolijua, vijana waso na aibu wafiraji.
Vijana waso na ubunifu wacheza kamari, vijana waso na nguvu za kiume, vijana waso na heshima kwa wazee, vijana wavaao nguo za kubana zinazochora mwili mpaka makalio, vijana wavivu wanopenda kushinda vijiweni asubuhi mpaka jioni angali wazee wetu kijiwe lilikuwa ni jioni baada ya kutoka shamba, vijana wanaopanda panda juu ya meza kucheza miso misondo, vijana wavaa heleni waso sikia la muidhini.
Haya ndio matokeo ya kutokuheshimu wazee vijana wanageuka kuwa mashoga vijana wa kupiga kimoja chali vijana wanakufa na stress za maisha wakiwa na miaka 20 tu wakati wazee wetu walikuwa wanapeleka moto unaambiwa kwa fundi selemara kila siku kulikuwa hakuishi kuletwa kwa Chaga mbovu kila kukicha, wazee wetu walimiliki Wanawake 4 na watoto 38 pamoja na yote hawakufa na stress za maisha mpaka miaka 98 wanadunda na Bado wakiitwa kwenye 6x6 wanasukuma moto wanarudisha heshima ya neno mwanaume.
Kijana wewe una miaka 20 unapeleka demu kimoja unakata pumzi kijana ambae leo ukipata mtoto moja tu unamkimbia mke wako kisa kushinda kutoa huduma Kwa mtoto, wakati Mzee wako alikuwa anahudumia watoto 38 katika hao 38. Mmoja wapo ni wewe ambao leo mitaa imekubariki jina la "kijana wa hovyo" ewe kijana ni nani alikwambia uyakimbie ya wazee wako ona sasa yanayokufika leo ni huzuni.
KIJANA MWANAUME HANYOI NYWELE ZA NYUMA KWA WEMBE UTAHANITHIKA.
Hii ni kauli ya wazee wako wa kale kijana vuzi la nyuma halinyolewi na wembe utahanithika. Wazee ambao leo hutaki kusikia kuhusu wao ndio maana unateseka kama kenge alovamia kazi ya mamba.
Mfanyie uzungu Baba chanja muende 69.Mada ina ukakasi hii! Anyways hivi huwa zipo eenhe sijawahi ona 🤔🤔🤔