Kijana mwauame hanyoi nywele za nyuma kwa wembe utahanithika

Inavoonekana hao wazee walikua wanawaza ngono tu...Wakati wazee wenzao wa Ulaya,China,USA na kwingineko walikuwa wanavumbua mambo...wanatengeneza na kuanzisha biashara wanakuza mataifa yao....ndo maana tuko hapa..hata kujitawala hatuwezi..full kupotezana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…