Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

Sijajua tunakupataje ila nina mawazo mazuri ya biashara kulingana na huo mtaji, nipo Dodoma mjini.
 
Anatakiwa kijana mwenye wazo la Biashara linaloendana na taaluma yake ambapo ana hakika litaleta faida, anitafute ni muunganishe afanye hiyo Biashara mwenyewe; (faida watagawana kwa makubaliano)

Biashara iwe halali na isiwe ya Kilevi na pia isiwe mikopo umiza
Boss kama bado una search karibu nina biashara nafanya japo kwa uchache nilikuwa navizia niwekeze kwa wingi.

1. Aina ya bidhaa ni chakula(cookies)
2. Muda wa ku-expire bidhaa ni 12 months
3. Mfumo wa biashara ni mzalishaji na ni distributer kwenye maduka,then unagawana faida na mwenye duka.
4. Thamani ya bidhaa kwa end user ni Tsh.. 100

Kwa kiasi cha 2.5m faida ni wastani wa Tsh 700,000/- kwa mwezi sawa na wastani wa Tsh 23,3333......kwa siku.

Kama mtaji utakuwa mara 2 yake faida itakuwa mara mbili that is all....

5. Biashara ina unique code ya kibiashara imejificha katika ladha.... Hivyo ni ngumu kuiga ladha.

If interested DM
 
==
I am a full-time trader.

I plan to use only TZS 2.5 million capital to obtain a $50,000 funded trading account from a PropFirm.

With this account size, it will be easier to target a weekly profit of TZS 500,000.

If you are interested in joining me on this , please reach out to me for more information on how we can start this trading business together.
=
Nasibu Thabith ,
Steve96
STREET SMART
Holly Star
Developer
Hassanjk
=
Kimsingi hapo ni swala la hesabu tu, Karibu inbox kwa next step.
Mikataba ya kingreza hii mkumbukeni fei
 
Mikataba ya kingreza hii mkumbukeni fei
Bado wa kubet
1686033045337.png

  • Kila biashara huwa na kanuni na taratibu zake
  • Kufanikiwa au kutofanikiwa hutokana na mtu husika katika biashara husika
  • Sreenshot ni trades za leo, account size ni $50,000 toka kampuni ya MFF ( myforexfunds )
  • Waweza kuzijua kampuni zingine (Propfirms) kwenye hii docs iko google drive
Code:
https://docs.google.com/spreadsheets/d/1U0M8mZBnGMa9NQoC6o6qaYphTbM58T28_2LgDbBVfrw/edit#gid=0
Nakaribisha investor, minimum account size ni $50K, toka prop Firms, kwenye hii list hapa chini, njoo tufanye kazi.
1686033381728.png

NB: Unapokuja inbox iwe ni swala la kuanza kufanya kazi, Fanya tafiti, jiridhishe kisha wasiliana nami.
 
View attachment 2647523
  • Kila biashara huwa na kanuni na taratibu zake
  • Kufanikiwa au kutofanikiwa hutokana na mtu husika katika biashara husika
  • Sreenshot ni trades za leo, account size ni $50,000 toka kampuni ya MFF ( myforexfunds )
  • Waweza kuzijua kampuni zingine (Propfirms) kwenye hii docs iko google drive
Code:
https://docs.google.com/spreadsheets/d/1U0M8mZBnGMa9NQoC6o6qaYphTbM58T28_2LgDbBVfrw/edit#gid=0
Nakaribisha investor, minimum account size ni $50K, toka prop Firms, kwenye hii list hapa chini, njoo tufanye kazi.
View attachment 2647531
NB: Unapokuja inbox iwe ni swala la kuanza kufanya kazi, Fanya tafiti, jiridhishe kisha wasiliana nami.
Kwa Tsh sawa na kiasi gani kuwekeza? Kwako.
Asante.
 
Wazo la uzi lilikuwa zuri tu lakini limeingiliwa na watu wa forex, forex haina guarantee ya investment.
Mtoa mada nakushauri mwezi huu wakulima wanavuna mpunga nenda shambani ukanunue mpunga wako utunze kwa muda, kufikia mwezi wa 12 utakuwa na faida ya kutosha.

Forex sishauri kwa mtu yeyote kwa sababu ni biashara ya pata potea, usishangae unaunguza hela zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari, kuna aina nyingi sana za biashara kwa mtaji wako, japo ingefika milion 15 ingependeza zaid, unaweza fungua duka la kuuza malidhafili za kutengenezea chakula cha kuku, kama mashudu ya alizet, mashudu ya pamba , damu,chokaaa, pumba nk, hii biashara inalipa na hizi bidhaa kuna baadhi unafuata mkoani nyingine zipo hapa dar,

Biashara ya pili ni kununua nafaka mikoani na kuja kuuza dar, hasa mahindi hii pia iko vuzuli japo kwa kipindi hiki maindi yapo juu sana lkn unaweza kuvuta subila ikifika mwezi wa 5 unaanza na mahindi ya mtukula kwa milioni kumi inatosha kuna kipindi maindi yanauzwa sh 600 kwa hiyo ukiwa na milioni 10 unakwenda kuchukua tani 15 - 18 na ukija kuuza unapata faida nzuli tu,

Kuna biashara ya kufungua mashine, kiukweli hii ndio biashara ya ndoto yangu , biashara hii imegawanyika makundi 3.

Unafungua mashine kwa ajili ya kusaga vipeto vya watu tu, hii kwa cku hukosi kuanzia 20-50 kutokana na eneo ulilopo lkn unawez kuwa na mashine ndogo kama SB 30 kwa ajili ya kukoboa mpunga kwa watumiaji wa chini biashara hii ni nzuli sana kwa nje ya dar.

Biashara nyingine ni kufungua mashine ya kusaga sembe hii unaweza kufanya hapa dar tena ukiwa na mtaji mzuuuli unachofanya unafungua mashine yako unaleta mahindi kutoka shamba unakoboa kwa mashine yako, , kuna wale wasiokuwa na mashine watakuja kukoboa kwako lkn pia kama unamtaji wa kutosha unawakopesha mahindi wajasiliamali wadogo pale pale mashineni wanasaga wanauza sembe wanakulipa pesa yako.

Baishara ya tatu ni kufungua mashine ya kukoboa mpunga ,hii inakuwa ya kukoboa mpunga tu, unanuna SB 50 unafunga mahali pazuuli kisha unakuwa na stoo kuuubwa ya kuhifadhia mpunga ,wakulima wanaleta mpunga kwako wahifadhi kisha ukifika msimu wanakoboa, lkn pia wafanya biashara wanakuja hako kukoboa na kununua mchele hii ni nzuli sana, karibu mp boss,

Madalali umeshaweka kipengele chao
 
Boss kama bado una search karibu nina biashara nafanya japo kwa uchache nilikua navizia Niwekeze kwa wingi.

1.Aina ya bidhaa ni chakula(cookies)
2.Muda wa ku-expire bidhaa ni 12 months
3.Mfumo wa biashara ni mzalishaji na ni distributer kwenye maduka,then unagawana faida na mwenye duka.
4.Thamani ya bidhaa kwa end user ni Tsh.. 100

kwa kiasi cha 2.5m faida ni wastani wa Tsh 700,000/- kwa mwezi sawa na wastani wa Tsh 23,3333......kwa siku.

Kama mtaji utakua mara 2 yake faida itakua mara mbili that is all....

5.Biashara ina uniq code ya kibiashara imejificha katika radha....hivyo ni ngumu kuiga radha.

If interested DM
I trust in this type of busines nakuja inbo!
 
Tembea uone

Nanunua carton 450,000 within a few hours nimemaliza mzigo kwa 700,000 na hapo nauza Bei ya chini Ili mzigo utoke chapchap

Ni mwendo wa kucheza na fast moving products na wholesalers only
Hornet naomba nikutafute tafadhali!!
 
Naomba namba mkuu.uzamini upo kama utakuwa na wasiwasi.kuna biashara ya mazao,unapiga pesa hatari,pia ninawazo nzuri milioni 5ndani ya miezi 4unapatamilion 22 wastani was chini
Njoo pm tuyajenge Mkuu
 
Nina Biashara kabisa sio wazo
Nahitaji 10m ku expand growth
Biashara ni kiwanda kidogo(chenye malengo ya kukua) Cha vipodozi,

That 10m natoa equity ya 10% annually
Unakuwa member wa board
Unaruhusiwa kufatilia na kupata taarifa za biashara muda wowote utakaojiskia

Ukiwa na taaluma ya uhasibu utakula 200k Kila mwezi (hapa utakuwa una work as part-time)

Kiwanda kipo Dar
Investment iliyopo Sasa ni 20m
12m machines na vitu vingine vya ofisi na 8m working capital hiyo 8m Kuna
3m madeni nje
2m raw material na packages
3m finished products

Kuna team ya watu sita
2. Founders
2. Sales
1. Production
1. Huyu Kama attendants

Outsourced
1. Accountant anakuja kwa wiki Mara moja
 
Kama ipo 10M, njoo tubadilishe dunia kwenye upande wa kilimo na ufugaji kwa kutengeneza app ambayo itasaidia watz kuuza na kununua malighafi itokanayo na kilimo na ufuagji nchi nzima na east africa kwa ujumla.

Kupitia app hii tutaweza kuisaidia serikali kwa upande wa ajira kwa kuajiri wataalam wa kilimo na ufugaji pia nakutoa elimu kwa wakulima na wafugaji kwa urahisi zaidi nchi nzima.

Njoo tuingize pesa tukiwa tumelala...
You got be serious, huwezi fanya project EastAfrica au Tanzaia nzima kwa 10m na ukakuletea profit unayoiclaim. Unless hujui unachokiongea regardless in aina gani ya project.
 
Back
Top Bottom