Kijana tafuta hela mambo ya mke wa mtu ni nadharia za watu masikini na ambao hawajapevuka akili.

Kijana tafuta hela mambo ya mke wa mtu ni nadharia za watu masikini na ambao hawajapevuka akili.

Multaza Hr

Member
Joined
Jan 10, 2025
Posts
83
Reaction score
182
Hapa duniani huwa hakuna mke wa mtu hilo jambo ni nadharia za binadamu wenye upeo mdogo wa akili.

Maana kitaalamu sio rahisi mwanaume akae na mwanamke mmoja bila kuchipuka.

Sex = energy ngono ni nishati au umeme hivyo ukimuona mke wako Ana umeme mdogo unashauriwa kwenda kutafuta umeme kwa mwanamke yeyote hata akiwa mke wa mtu

So tafuta hela na usitoshwe na story za vijiweni za wajinga kuwa mke wa mtu ni sumu.
 
FB_IMG_17418727416549856.jpg
 
Hapa duniani huwa hakuna mke wa mtu hilo jambo ni nadharia za binadamu wenye upeo mdogo wa akili.

Maana kitaalamu sio rahisi mwanaume akae na mwanamke mmoja bila kuchipuka.

Sex = energy ngono ni nishati au umeme hivyo ukimuona mke wako Ana umeme mdogo unashauriwa kwenda kutafuta umeme kwa mwanamke yeyote hata akiwa mke wa mtu

So tafuta hela na usitoshwe na story za vijiweni za wajinga kuwa mke wa mtu ni sumu.
Yani utafute hela ili ukatumie kwa wanawake? Ujinga kabsa huu kuwaza ngono tu.

Tafuta hela jenga empire yako jenga familia yako.
 
Hapa duniani huwa hakuna mke wa mtu hilo jambo ni nadharia za binadamu wenye upeo mdogo wa akili.

Maana kitaalamu sio rahisi mwanaume akae na mwanamke mmoja bila kuchipuka.

Sex = energy ngono ni nishati au umeme hivyo ukimuona mke wako Ana umeme mdogo unashauriwa kwenda kutafuta umeme kwa mwanamke yeyote hata akiwa mke wa mtu

So tafuta hela na usitoshwe na story za vijiweni za wajinga kuwa mke wa mtu ni sumu.
Leo nimemuona shetani laivuuu
 
Usisahau na mafuta ya jery ,,, unawapa inaweza ikawa msaada plz,,, nb KUANZIA LEO USI YA ACHE
 
Duuh! Nakukumbusha tu huo unaosema umeme mdogo kuna siku unaweza ukageuka upande wa pili hapo ndo utajua hujui.

Bila shaka hii kauli yako hautakuwa nayo tena na hata ukiwa nayo utaiongelea kwa siri sana ili wale wanaokufahamu wasisikie. Teh.
 
Bila shaka kwa u-Pro huu ukipigwa search hapo ulipo hukosi kikopo cha mafuta mgando.
 
Yaani Niangaike Kutafuta Pesa,,,Alafu Tena Niangaike Na Wake Za Watu??Shiiits Happen Sometimes....!!!
 
Duuh! Nakukumbusha tu huo unaosema umeme mdogo kuna siku unaweza ukageuka upande wa pili hapo ndo utajua hujui.

Bila shaka hii kauli yako hautakuwa nayo tena na hata ukiwa nayo utaiongelea kwa siri sana ili wale wanaokufahamu wasisikie. Teh.
Je ikiwa Una umeme mdogo hautaki Mme wako atafute umeme mzuri?
 
Duuh! Nakukumbusha tu huo unaosema umeme mdogo kuna siku unaweza ukageuka upande wa pili hapo ndo utajua hujui.

Bila shaka hii kauli yako hautakuwa nayo tena na hata ukiwa nayo utaiongelea kwa siri sana ili wale wanaokufahamu wasisikie. Teh.
Ila mtani jamanii.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Duuh! Nakukumbusha tu huo unaosema umeme mdogo kuna siku unaweza ukageuka upande wa pili hapo ndo utajua hujui.

Bila shaka hii kauli yako hautakuwa nayo tena na hata ukiwa nayo utaiongelea kwa siri sana ili wale wanaokufahamu wasisikie. Teh.
 
Back
Top Bottom