Kijana tafuta hela mambo ya mke wa mtu ni nadharia za watu masikini na ambao hawajapevuka akili.

Kijana tafuta hela mambo ya mke wa mtu ni nadharia za watu masikini na ambao hawajapevuka akili.

Bullshit, Yan nitafute pesa kwa ajili ya kulala na wake za watu ..what kind of bullshit advice is this ..
 
Hapa duniani huwa hakuna mke wa mtu hilo jambo ni nadharia za binadamu wenye upeo mdogo wa akili.

Maana kitaalamu sio rahisi mwanaume akae na mwanamke mmoja bila kuchipuka.

Sex = energy ngono ni nishati au umeme hivyo ukimuona mke wako Ana umeme mdogo unashauriwa kwenda kutafuta umeme kwa mwanamke yeyote hata akiwa mke wa mtu

So tafuta hela na usitoshwe na story za vijiweni za wajinga kuwa mke wa mtu ni sumu.
That is the reality mwanamke mbele ya hela ni mkate kwenye chai... kwa wale watumishi wa umma rejeeni tabia za wanawake maofisini Kuwa omba omba sio kwa bahati mbaya
Maisha ni magumu
 
Back
Top Bottom