Kijana tafuta hela mambo ya mke wa mtu ni nadharia za watu masikini na ambao hawajapevuka akili.

Bullshit, Yan nitafute pesa kwa ajili ya kulala na wake za watu ..what kind of bullshit advice is this ..
 
That is the reality mwanamke mbele ya hela ni mkate kwenye chai... kwa wale watumishi wa umma rejeeni tabia za wanawake maofisini Kuwa omba omba sio kwa bahati mbaya
Maisha ni magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…