OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nilishindwa. Nilianza kupika nikiwa Grade 4, Chuo niliishi geto. Hata home nafanya kazi zote. Mimi ni mselawe sio msela na ujaishi na masela
sheria MWANAUME yoyote MTANZANIA kitu cha kwanza anatakiwa ajue kupika ni UGARI then vingine hata usipojua poa tu haviko katika sheria
Hoja ni wasio oa kufua kujipikia nk nikakuambia tusio oa tunapata zaidi ya unayo pata wewe ....maana tukitaka kudinya tunadinya sawa na wewe tunafuliwa nguo sawa na wewe tuna badili mademu wewe ni ngumu ..tupo huru kwa wanawake wengine wewe siyo huru ...tukitaka kumdinya mkewako tunamdinya tu japo atujamuoa nkMimi binafsi sitaki kula chakula cha house girls wala kufuliwa nguo naye afanye majukumu yake kama kuwaanda watoto usafi wa nyumba kuwapikia watoto chakula ila chakula changu mimi nachotaka kula nipikiwe na mke wangu
sasa mkuu msela halfu huji kupika ugariNilishindwa. Nilianza kupika nikiwa Grade 4, Chuo niliishi geto. Mimi ni msela
Mimi mbona sijaoa mkuu ukinipigia wangu na mimi nakupigia wako fresh tuHoja ni wasio oa kufua kujipikia nk nikakuambia tusio oa tunapata zaidi ya unayo pata wewe ....maana tukitaka kudinya tunadinya sawa na wewe tunafuliwa nguo sawa na wewe tuna badili mademu wewe ni ngumu ..tupo huru kwa wanawake wengine wewe siyo huru ...tukitaka kumdinya mkewako tunamdinya tu japo atujamuoa nk
Kwanza hicho kigezo nani kaweka mkuu. Maana nimetimiza vigezo vyote kasoro kupiga ugali tusasa mkuu msela halfu huji kupika ugari
na wakati ugari ndio msosi unaenda na chochote
ugari unaenda hata na mawazo ya lost maini( elewa mkuu mawazo ya los maini yaan unapiga TONGE then unawaza km vile mboga ndio lost maini kumbe hayo ni mawazo unakula ugari mkavu)
Je unaujua UGARI na SAITI MILA ( SIDE MIRROW)
Habari njema sana hiyo...tunazidi kuwapa uroda tuMimi mbona sijaoa mkuu ukinipigia wangu na mimi nakupigia wako fresh tu
Mke wa mtu asumbui kwanza ukimtongozaHabari njema sana hiyo...tunazidi kuwapa uroda tu
π nguo kufua ni inatia uvivu Half american mara ya mwisho kufua lini?Wazee wa ngebee kufua mpaka mwexi uishe tuungane hapa
Na sio lazimaBaltazar engonga amethibitisha ndoa haina umuhimu
Jana usiku nilipotoka mbishe, mimi huwa sirundiki manguo. Na sipendi uchafu kabisa kwahyo kufua hainipi tabu.π nguo kufua ni inatia uvivu Half american mara ya mwisho kufua lini?
Ongezea na kukuna nazi hakukupi tabu piaJana usiku nilipotoka mbishe, mimi huwa sirundiki manguo. Na sipendi uchafu kabisa kwahyo kufua hainipi tabu.
Msela wewe πOngezea na kukuna nazi hakukupi tabu pia
Vip boss vip mshua hauna buku hapo? π€Msela wewe π
Nna randi sina bukuVip boss vip mshua hauna buku hapo? π€
Jero je?Nna randi sina buku
Yanini?Jero je?
Hauna Buku hapo (We unayo) Sina!Yanini?
Mwenzio najitahid kufua kiukwel maada nikiwa mchafu mademu siwez kupata bhnπ nguo kufua ni inatia uvivu Half american mara ya mwisho kufua lini?