Kijana unaishi kwa dadaako huna mbele wala nyuma, unalala dago, halafu unatuvimbia wapangaji!

Kijana unaishi kwa dadaako huna mbele wala nyuma, unalala dago, halafu unatuvimbia wapangaji!

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Wakuu nimebahatika kupanga huku mitaa ya gongo la mboto, mombasa sasa hapa nilipopanga huyu bwana mdogo dada kaolewa hapa na mwanajeshi basi kijana anaona kamaliza asalimii wakubwa na wakubwa tukiamua kumpa hi dogo aniitika kwakujisikia sana.

HIVI inakuaje mtu asie na mbele wala nyuma anakua na tabia hizi, je kabila muda mwingine yanachangia au ni ujinga tu wa mtu binafsi maana mm nimesoma na kukaa na wasukuma na wahaya ni watu peace sana!!!

HIVI mtu kama huyu ambae hata vitafunio asubuh mpaka anunuliwe na shemeji yako tunaweza msaidia kweli kumpa hata madili madogo madogo apate ata hela ya juisi

Mtaaa hapa Mombasa kwamama mkandamizaji
 
Kaka majohe, banana hadi tazara yote unanisema, hadi na huku kaka

Kaka mbona unanionea wivu, mbona shemeji ananivumilia , hata sasa niko Jf naona uzi wako nikiwa sebureni miguu nimeweka juu ya sofa la shemu

Kaka acha wivu, ebu nimpeleke shem maji nakuja
 
La msingi ni kujifunza kuishi na Watu WA Kila aina ,Kuelimisha pale panapowezekana na kupambania maisha yako maana inawezekana wote mnapita Tu hapo
 
Wakuu nimebahatika kupanga huku mitaa ya gongo la mboto, mombasa sasa hapa nilipopanga huyu bwana mdogo dada kaolewa hapa na mwanajeshi basi kijana anaona kamaliza asalimii wakubwa na wakubwa tukiamua kumpa hi dogo aniitika kwakujisikia sana.

HIVI inakuaje mtu asie na mbele wala nyuma anakua na tabia hizi, je kabila muda mwingine yanachangia au ni ujinga tu wa mtu binafsi maana mm nimesoma na kukaa na wasukuma na wahaya ni watu peace sana!!!

HIVI mtu kama huyu ambae hata vitafunio asubuh mpaka anunuliwe na shemeji yako tunaweza msaidia kweli kumpa hata madili madogo madogo apate ata hela ya juisi

Mtaaa hapa Mombasa kwamama mkandamizaji
Mwambie shemej Ake awe anamtuma karanga mbichi na juice ya tende kila sku dogo ataondoka
 
Wakuu nimebahatika kupanga huku mitaa ya gongo la mboto, mombasa sasa hapa nilipopanga huyu bwana mdogo dada kaolewa hapa na mwanajeshi basi kijana anaona kamaliza asalimii wakubwa na wakubwa tukiamua kumpa hi dogo aniitika kwakujisikia sana.

HIVI inakuaje mtu asie na mbele wala nyuma anakua na tabia hizi, je kabila muda mwingine yanachangia au ni ujinga tu wa mtu binafsi maana mm nimesoma na kukaa na wasukuma na wahaya ni watu peace sana!!!

HIVI mtu kama huyu ambae hata vitafunio asubuh mpaka anunuliwe na shemeji yako tunaweza msaidia kweli kumpa hata madili madogo madogo apate ata hela ya juisi

Mtaaa hapa Mombasa kwamama mkandamizaji
MTU MWENYE MBELE NA NYUMA HAFATILII MAMBO YA WATU!

MTU MWENYE NA NYUMA,HAWEZI KUPATA MUDA WA KUJUA HUYU NI NANI,ANAISHI KWA NANI,NI NANI YAKE.

NI UMASKINI WA AKILI NA PESA,KUDHANI KUSALIMIA AU KUSALIMIWA NI KIGEZO CHA HESHIMA.

KWA UFUPI,UMEANDIKA UPUMBAVU MTUPU.
 
Anayeishi kwa dadake na wewe hamna tofauti.
Mtoto wa kiume mwenye majukumu unapata wapi muda wa kutazama maisha ya nyumba nyingine?
Kama hujapokelewa salamu si unakula bati tu. Huu unywanywa hadi wa kuja kumshitaki JF unatokea wapi?
 
Wewe temana naye, kwani unamlisha au unamlipia kodi ? Akikusalimia unaongeza siku za kuishi ? Vitu vingine ni kujipa stress kwa kujipa umuhimu kwa watu wasio na umuhimu kwenye maisha yako
 
Wakuu nimebahatika kupanga huku mitaa ya gongo la mboto, mombasa sasa hapa nilipopanga huyu bwana mdogo dada kaolewa hapa na mwanajeshi basi kijana anaona kamaliza asalimii wakubwa na wakubwa tukiamua kumpa hi dogo aniitika kwakujisikia sana.

HIVI inakuaje mtu asie na mbele wala nyuma anakua na tabia hizi, je kabila muda mwingine yanachangia au ni ujinga tu wa mtu binafsi maana mm nimesoma na kukaa na wasukuma na wahaya ni watu peace sana!!!

HIVI mtu kama huyu ambae hata vitafunio asubuh mpaka anunuliwe na shemeji yako tunaweza msaidia kweli kumpa hata madili madogo madogo apate ata hela ya juisi

Mtaaa hapa Mombasa kwamama mkandamizaji
Mombasa sehemu gani!?, Usijekuta ni kwetu hapo🤔
 
LIKUD Hawa ndo wale waliosoma English medium hawa. wanajikutaga noma sana yani anaona gongo la mboto yote vilaza tu
 
Back
Top Bottom