Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu ifatilie kaka, una weza kulamba bingo Kalaga Baho NongwaKama inafanyika ni kwq kiwango kidogo sana mana machupq ni mengi haielezeki
Ili upate fursa ya kuingia Hotel kufanya field (Training) au kazi kwa Zanzibar,Habari zenu
Naomba kuwapa nasaa kidogo vijana wa kiume na kike wanao jitafuta kimaisha. Hapa nitapenda kufikisha ujumbe huu kwa vijana wote wanao jitambua na kuelewa nini wanatakiwa kufanya katika dunia hii. Vijana wote wenye malengo na ndoto nzuri za kupiga hatua moja kwenda nyingine naomba msome kwa makini maandishi haya kisha utachanganya akili zako mwenyewe.
Nimepata muda wa kuitembelea Zanzibar na kugundua kuwa inawafaa sana vijana ambao wako katika utafutaji wakipambania kufika hatua fulani. Asilimia kubwa ya watu wamekuwa wakitaja maeneo mbalimbali ya kiutafutaji na kuacha kuisemea Zanzibar ambayo vizuri kabisa kwa kijana aliye makini. Vijana ambao mmekuwa mkilalamika kuhusu kukosa mitaji hali inayo pelekea kushindwa kufanya shughuli mzipendazo basi Zanzibar ni mahala sahihi kwa kutafutia mtaji.
Eneo kubwa la pwani ya Zanzibar limezungukwa na Hoteli, hali hii imepelekea vijana wengi kupata ajira katika vitengo mbalimbali. Sasa basi dhumuni langu liko hapa, kwenye hizo hoteli kuna vitengo vingi sana mfano, House Keeping, watu wa mapokezi, wapishi, mafundi, walinzi, watu wa swimming pool, wahudumu, watu wa bar, watu wa usafi, watu wa bustani nakadhalika nakadhalika. Vitengo hivyo vinahitaji uwe na uelewa navyo ama taaluma.
Taaluma ama uelewa utaupata huko huko hotelini muhimu ni kuchukua maamuzi. Kuliko kuendelea kulaumu na kulalamika vijana chukueni maamuzi magumu. Iko hivi kwenye hizo hoteli kuna baadhi ya vitengo mafunzo hutolewa kwa muda wa miezi mitatu kisha wakikuona uko vizuri utapata ajira na kuanza kula mshahara. Pia utapata cheti cha kuhitimu mafunzo ambapo tofauti na hapo unaweza kwenda hoteli nyingine na ukapata ajira.
Vijana tokeni, kwenye kutoka unaweza pata madili. Zanzibar iwekeni namba moja kwenye utafutaji, nenda jipe muda kisha pambana. Nimeandika kwa ufupi kutokana na muda hauruhusu, hivyo nitajibu kama utakuwa na swali lolote. Karibu
DahWanawakenwa bara wa nn mkuu? Mm nimepata mshangazi mmoja Michamvi una trako la kwenda. Siku ya kwanza nilokutana nao ulinipitia karibu unanukia al-Udi nkadinda masaa 3.. kuna mimama inajipenda wazee sio poa
Muwekezsji ni wewe au darari?hebu ifatilie kaka, una weza kulamba bingo Kalaga Baho Nongwa
tuseme inshallah, fatilia kwani ma jobless pro max hatu ruhusiwi?Muwekezsji ni wewe au darari?
Mwanangu wazo lako zuri ila acha bange @ mropoka HovyoBinafsi nilishaamua long time lazima nije Zanzibar kupiga vibarua vya ujenzi Ili nipate nauli ya kwenda Ukraine kwenye ujenzi baada ya vita kuisha.
Insha'Allah tuendeni kulinda zenjiberiituseme inshallah, fatilia kwani ma jobless pro max hatu ruhusiwi?
Cc katibu min -me, mjumbe Monetary doctor,
Elfu 15 unayosema kwa mwezi ni 450,000 tu. Hiyo milioni ya kwenye karatasi hewa au cash.Washkaji walishanitonya kitambo Zanzibar ujenzi raia wanakamata 15 per day, Ukijikunja miezi mitatu Milioni unakuwa umeisogelea. Sema nauli ya kunitoa huku karagwe hadi Zanzibar ndio mtiti bado naitafuta.
Pole* Ukitaka utafute maisha, usikae nchi yoyote au sehemu ambapo wanatumia dini yao kama sehemu ya serikali*
Nchi yoyote au sehemu ambapo dini ndiyo kipaumbele, siwezi kukaa maana tutakwaruzana.
Wewe umefunga, mimi nisile sehemu ya wazi kisa wewe umefunga. Huo ni ujinga mkubwa sana
You disappoint me. You must know how to read with comprehension, Dude. Nimeandika raia Wanakamata 15 per day Ukijikunja three months unakuwa close to million[15,000 x 90 =1,350,000] . But why is it close to 1M? It's because of the high cost of living in Zanzibar, or should I say expenses are high. And you must remember that I won’t always be working.Elfu 15 unayosema kwa mwezi ni 450,000 tu. Hiyo milioni ya kwenye karatasi hewa au cash.
Aminia Sana Mkuu. Kwenye maisha ni lazima mtu awe na calculated thoughts for better results.Mwanangu wazo lako zuri ila acha bange @ mropoka Hovyo
Pole sana mkuu. Zanzibar kweli kazi za vibarua mshahara unaanza 12-15k chai na chakula cha mchana unapewa. Na watu wanaotoka bara wana soko kwq sababu wanapiga kazi. Ukipata hela ukapata sehemu ukajishikiza kulala tu ambapo naona huku huwa wanashare room karibu na site. Hata hizo na kufundishwa na kupewa vyeti ni kweli kabisa.Mkuu kwa unyenyekevu mkubwa naomba uniambie ni sehemu gani Zanzibar wanalipa hichi kiasi naweza weka bondi baadhi ya vitu vya mjomba nikadandia gari hata kesho kutwa. I have to support my people at home, and where I work, I earn only 4,000 per day.
upo znz sehemu gani mkuu, nina mpango wa kurudi huko ivi karibuni kusip & kuwhine kandokando ya bahariPole sana mkuu. Zanzibar kweli kazi za vibarua mshahara unaanza 12-15k chai na chakula cha mchana unapewa. Na watu wanaotoka bara wana soko kwq sababu wanapiga kazi. Ukipata hela ukapata sehemu ukajishikiza kulala tu ambapo naona huku huwa wanashare room karibu na site. Hata hizo na kufundishwa na kupewa vyeti ni kweli kabisa.
Karibuni tujenge uchumi wa buluu. Zanzibar ni njema atakae na aje
Hii inakuwa ni saidia fundi ndio unalipwa hii 20k ama ni fundi mzoefu?Day ni 20 mkuu sijui wao wako wapi
Saidia fundi, mafundi 30 au 35Hii inakuwa ni saidia fundi ndio unalipwa hii 20k ama ni fundi mzoefu?
Okay ni hela nzuri lakini sasa kama ni mtu mgeni ndio ameenda kwa mara ya kwanza atumie mbinu gani kuzipata hizo kazi au aende mazingira ya wapi ili azipate hizo kazi au kuna kampuni maalum ndio wanachukua wafanyakazi?Saidia fundi, mafundi 30 au 35
Plastic sio nyingi kwa kufungua recycling center.... Chupa za plastic zipo kwa wingi...Una 1B nikuelekeze biashara?
Any way unguja ina shida ya utunzaji na ukusanyji wa taka. Unaweza kufungua kiwanda cha recycling ya plastic?