DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ndo uache kabisa, maana jela kule k-y haziruhusiwi.Manina basi naacha wanafunzi..[emoji1787]
Manyapara wanatumia KORIE[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo uache kabisa, maana jela kule k-y haziruhusiwi.Manina basi naacha wanafunzi..[emoji1787]
Mmomonyoko wa Maadili , yaan Dunia ya sasa ukishakua na Jicho la tatu. Utajua namna ya kucheza Muziki wake.Ukwel mtupu ila utapingwa.
Ndoa au mahusiano siku hiz yamegeuka.kama sehem pa mabinti/wanawake kupunguzia umasikini wao. Utasikia kauliza "tafta ela", kama binti kakaa bila kazi mda mrefu utasikia anaambiwa "si uolewe tu"
Huyu Tumjengee Sanamu pale Chamwino.Chekini Mimi nilienae sasa..
View attachment 2116993
Kabisa Mkuu[emoji4]Hakika, though mleta mada yupo on point kwa kila alichosema...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Karibu Mkuushikamooooooo
Akiweka tunampiga ban kwny vikao vyetu[emoji1787]Akiweka uniite na mimi [emoji4]
Upo sahihi MkuuHizo si ndiyo tabia kuu za wanawake wengi kama siyo wote?
Sahii kabisa
Pole sana mkuu umeyajuaje yote haya..😂Ndo uache kabisa, maana jela kule k-y haziruhusiwi.
Manyapara wanatumia KORIE[emoji1787]
Wacha nikae kimya nina maji mdomoni kama samaki, nitapaliwa...Kabisa Mkuu[emoji4]
Na wanawake akikuhitaji atapretend TU kumeet Vigezo na masharti, baada ya hapo majuto
Nimeapa simuachi..😊Huyu Tumjengee Sanamu pale Chamwino.
Sahii Mkuu[emoji4][emoji106]Wacha nikae kimya nina maji mdomoni kama samaki, nitapaliwa...
Na kazi ziendelee...Sahii Mkuu[emoji4][emoji106]
Niliwai kua bwana jela[emoji1787]Pole sana mkuu umeyajuaje yote haya..[emoji23]
[emoji4][emoji106]Na kazi ziendelee...
Bila Shaka ulishaonyeshwa kila rangi mpk kuandika hivi..🤣Wacha nikae kimya nina maji mdomoni kama samaki, nitapaliwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila Shaka ulishaonyeshwa kila rangi mpk kuandika hivi..[emoji1787]
Pole sana ndugu..hakika mwendo uliuenda vilivyo..🤣Niliwai kua bwana jela[emoji1787]
Akiweka tunampiga ban kwny vikao vyetu[emoji1787]
Natania wewe[emoji1787]Pole sana ndugu..hakika mwendo uliuenda vilivyo..[emoji1787]