Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Acha kututisha,hao wenye tabia hizo labda wa kwenu huko mijini,sisi huku kwetu tunasaidiana na maisha yanasonga raha tupu...
Kijijini wote fani moja baba mkulima ,mama mkulima ,bibi mkulima,mume mkulima,wewe mkulima maisha wote wakulima

Saluni hakuna nk

Mhamie mjini na huyo mkeo uone utajua kama saluni anaijua au la
 
Ewaaaaa....we jamaa ni genius [emoji122][emoji122]

Ogopa mwanaume asiyetaka au anayejifanya hataki kutumia pesa yako kama mkewe au mchumba wako. Huyo ni mbinafsi na mnyanyasaji.

Na Hilo lipo Kwa wanaume wengi WA Afrika.

Mwanamke unapoitumia pesa yake naye anajiona Part of your Life.
Kama Mungu tunampa zaka na Sadaka Sisi tulioviumbe wake sembuse mke kutoa pesa Kwa ajili ya mume wake.

Ndio maana nikasema Mwanaume ambaye hataki pesa ya Mke wake ni kwamba hataki kuwa miliki ya huyo mwanamke, Hana ushirika.

Kwenye Mia moja mke akitoa hata 10 au 30 kuna shida gani?
 
Upendo WA kweli hautengenezwi.
Kuupata upendo wa kweli ndio kipengele.

Na hapo ndipo mtoa mada hoja yake inapopata nguvu[/QUOTE]

Maneno konki
 
Upo sahihi Kama mumeokotana na hampendani.
Na hamjui nini maana ya Familia.

Siku zote familia yenye mfumo uliousema kamwe haiwezi kuendelea.
Hiyo ni Familia yenye ubinafsi, na kwenye ubinafsi kuna unyanyasaji.

Unakuta mume anamnyanyasa mke kisa Mke Hana kipato, au kisa mume ndiye analisha familia. Halikadhalika na Mke naye anamnyanyasa mume kisa Hana kipato na yeye ndiye analisha familia.

Msingi Mkuu wa ndoa ni Upendo na wala sio pesa.

Ushauri wako ni mzuri Kutokana na Dunia ya sasa ilivyo, wanawake ni selfish Kwa watu wasiowapenda. Hilo ulizingatie Sana.

Pesa zako hazimfanyi mwanamke akupende, hilo pia uliweke akilini.
Na Mwanamke lazima Ajue uzuri wake na kujitoa kwake hakumfanyi mwanaume akupende.

Upendo WA kweli hautengenezwi.
Kuupata upendo wa kweli ndio kipengele.

Na hapo ndipo mtoa mada hoja yake inapopata nguvu

Maneno konki
 
Hahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.

Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?

Kama unaoa mke aje kuwa kama parasite huo ni uamuzi wako. Ambao wataoa wake wakijua maisha ni kupwa na kujaa kama bahari waache waoe wa aina hio. Mwanamke yuko wa kuendana na kila mtu.
Usipovuta unakua na akili😂😂😂

Kwetu mahari lakh 5 tu😋
 
Naam, ndiyo hali halisi ilivyo, kijana ajitathimini kama ataweza kumudu changamoto za ndoa kwa mwanamke mwenye uwezo wa kiuchumi kumzidi mume wake
 
Pet 3:7 SUV

Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.

Keyword ni Kaeni na wake zenu kwa Akili
 
Mkuu ukitambua kwamba mwana mke ndani ya nyumba she is "a friendly enemy" hapo ndo ujue jinsi ya kupambana na rafiki adui wako, ukiwa mshamba ukiaza kuzimia eti honey I love you 100% hao watu ndo wanao jinyonga baada ya kusalitiwa na wake zao, ukiwa kwenye deep love na wife jicho moja ziba jingine liwe wazi, ukiziba yote umeisha.
Kwa hii comment yako kuna haja gani ya ndoa mkuu? Mbona ni kama unaingia katika matatizo yaani hakuna furaha ndani ya ndoa, ni unafiki umetawala kila mtu hana imani na mwenzake, ndo maana tunakufa na visukari na pressure kwa kuubeba msalaba usiotuhusu, tuache kuendekeza ujinga wa namna hii ndani ya ndoa kama hafai fukuza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom