Weee si unasemaga una mke wewe?[emoji848][emoji848][emoji848]
Kijijini wote fani moja baba mkulima ,mama mkulima ,bibi mkulima,mume mkulima,wewe mkulima maisha wote wakulimaAcha kututisha,hao wenye tabia hizo labda wa kwenu huko mijini,sisi huku kwetu tunasaidiana na maisha yanasonga raha tupu...
πππππKosa Sio la mke kosa hapo ni la mume kuoa mdangaji .
Unataka nioe slay queen ili nije nitese wanangu kwa mama kilazaHahahahaha daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa bana
Ewaaaaa....we jamaa ni genius [emoji122][emoji122]
Upo sahihi Kama mumeokotana na hampendani.
Na hamjui nini maana ya Familia.
Siku zote familia yenye mfumo uliousema kamwe haiwezi kuendelea.
Hiyo ni Familia yenye ubinafsi, na kwenye ubinafsi kuna unyanyasaji.
Unakuta mume anamnyanyasa mke kisa Mke Hana kipato, au kisa mume ndiye analisha familia. Halikadhalika na Mke naye anamnyanyasa mume kisa Hana kipato na yeye ndiye analisha familia.
Msingi Mkuu wa ndoa ni Upendo na wala sio pesa.
Ushauri wako ni mzuri Kutokana na Dunia ya sasa ilivyo, wanawake ni selfish Kwa watu wasiowapenda. Hilo ulizingatie Sana.
Pesa zako hazimfanyi mwanamke akupende, hilo pia uliweke akilini.
Na Mwanamke lazima Ajue uzuri wake na kujitoa kwake hakumfanyi mwanaume akupende.
Upendo WA kweli hautengenezwi.
Kuupata upendo wa kweli ndio kipengele.
Na hapo ndipo mtoa mada hoja yake inapopata nguvu
Usipovuta unakua na akiliπππHahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.
Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?
Kama unaoa mke aje kuwa kama parasite huo ni uamuzi wako. Ambao wataoa wake wakijua maisha ni kupwa na kujaa kama bahari waache waoe wa aina hio. Mwanamke yuko wa kuendana na kila mtu.
Maneno konki
Mimi nitakuja kukutolea mahari ya TSH million 1, huyo extrovert ni wa mchongo tu, mm ndo balqior og π Mama prettyUsipovuta unakua na akiliπππ
Kwetu mahari lakh 5 tuπ
Daaah aisee hao watu sahihi wapoje?Sio vita ukipata mtu sahihi ila ni zaidi ya vita ukupata mtu ambayo sio wako
Sijaoa et jamani,so nikae tu?Kwa ambao hamjaoa nawashauri tu USITHUBUTU KUJIFUNGA GEREZA LA NDOA. fanya maisha Yako mwenyewe kama ni stress zitakuwa zako na utazitatua mwenyewe.
ππππ ili uje tusaidiane maishaππMimi nitakuja kukutolea mahari ya TSH million 1, huyo extrovert ni wa mchongo tu, mm ndo balqior og π Mama pretty
Kwa hii comment yako kuna haja gani ya ndoa mkuu? Mbona ni kama unaingia katika matatizo yaani hakuna furaha ndani ya ndoa, ni unafiki umetawala kila mtu hana imani na mwenzake, ndo maana tunakufa na visukari na pressure kwa kuubeba msalaba usiotuhusu, tuache kuendekeza ujinga wa namna hii ndani ya ndoa kama hafai fukuza,Mkuu ukitambua kwamba mwana mke ndani ya nyumba she is "a friendly enemy" hapo ndo ujue jinsi ya kupambana na rafiki adui wako, ukiwa mshamba ukiaza kuzimia eti honey I love you 100% hao watu ndo wanao jinyonga baada ya kusalitiwa na wake zao, ukiwa kwenye deep love na wife jicho moja ziba jingine liwe wazi, ukiziba yote umeisha.
Nashukuru kwa headsup...mitano tena kwa ubachela