Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Shehe Sasa tuache nguvu kazi ipotee?? We need sustainable development which doesn't affect the future of our coming generation, hatuwezi kulea mashoga! Mtu anakwambia hajuwi jinsia yake hana mchango kwenye hili taifa
 
Naweka mkazo kabisa hakuna mwanaume anayezaliwa shoga ..nyie wazazi mnaowalea watoto wenu kimayai mayai unamuacha mtoto wako wa kiume muda wote yupo na dada zake chumbani kwao wanapiga story na wewe unachekelea ilo bomu unalolitengeneza litakuja kukulipukia Soon .. mimi mwanangu tangia yupo mdogo nkienda uwanjani kuangalia mpira nipo nae ....sisemi kama ndio akilelewa mazingira aya ninayofanya ndio atokuja kuwa shoga NOPE angalau namfanya aweze kuelewa yeye ni nani na nini atakiwi kufanya..Nikimkuta chumbani kwa dada zake wakikaa japo dk30 tu anajua nini kinachotokea..Nimeshuudia mimi mtoto anaachwa anashinda na kupiga story na dada zake mpaka mbwana wa dada zake akawa anawajua gues what happened ...NI punga Now
 
You cocastic
 
Kwahiyo tupeleke nguvu zetu kupinga CCM wakati watoto wetu wanaliwa!mpaka tumalize hiyo vita ya kuitoa CCM watoto wetu wote si watakuwa wanavaa pempasi?kwahiyo tunachukua madaraka tunamevaa pempasi,wacha tu tufe na umasikini wetu mkuu,ila ushoga NO...
 
Lisemwalo lipo na kama halipo laja. .
Acha ukumah kijana,,
Hakuna mwanaume rijali anaemuuliza mwanaume.mwingine kwamba akifirwa anajiskiaje..wewe bwana sema ukwel tu kwamba ni mdau basi, hakuna atakaeku judge, mwili ni wako, mana hata sijawah ona mwanamke anamuuliza mwanamke mwingine kwamba ukitombwa hua unajiskiaje..kana kwamba yeye hatombwi. ..mbona na wadada wanaofirwa hamuwasemi, na wamejaaa huko instagram mana video zao zote wanaonesha matako tu wakiyatikisa, na asilimia kubwa wote hapa wanaume sisi ni wateja, tena wanaongea ongea na. Kujifanya maustaz kwamba wanachukia mashoga kumbe nyuma ya pazia wanafira wadada wengine na watoto madrasa
 
Kwaiyo sku hizi mnajisema kabisa live eemungu simamisha dunia nishuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…