Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Kijana wa kiume mwenye miaka 40+ kuna ushauri wenu hapa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
 
Kama una miaka 40+ na unafanya yafuatayo:-​
  • Unafua nguo mwenyewe​
  • Unapiga nguo pasi mwenyewe​
  • Unajipikilisha/unajipikia mwenyewe​
  • Unajitandikia kitanda mwenyewe​
  • Unajiandalia chakula mwenyewe​
  • Unaishi peke yako​
  • Unajifungulia mlango au geti mwenyewe n.k​
Elewa, kuna sehemu kutakuwa na tatizo; jaribu kutatua hilo tatizo mapema.​
Anachohitaji ni mfanyakazi na si mke.
 
Back
Top Bottom