Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kijana wa Kukaa Shamba anahitajika

Kazi hizi humu sidhani kama unaweza kupata mtu. Hizi kazi zinataka aina flani hivi ya watu. Si kwa ubaya ila. Kila la heri.
 
Sio uongo na wala unachoandika sio utani.

Nilipata vijana hapa Dar kipindi cha nyuma kabla sijawajengea hapo nilipanga chumba kijijini hapo nikawawekea vitu vya kula.

Mchele, unga, viungo (nyanya, karoti, kitunguu), dagaaa...

Siku moja nikapiga simu nikawauliza mko wapi? Wakasema wapo nyumbani, Leo hamjaenda kazini? Wakasema hawajaenda (wana njaa).. kwanini? Chakula mboga karoti zimeisha kuna nyanya na kitunguu tu hatujapika..

Nikagomba pale ikaisha, Siku ingine wakaniletea Kubwa KULIKO wamechoka UGALI na WALI wamekinai wanaomba Hela wanunue Ndizi labda au vyakula vingine.

KESHO yake wote walikuwa wanawasiliana kwenye simu, Mmoja akiwa anaelekea MBEYA kwao mwingine MBAGALA huko...
Aisee😀
 
Sio uongo na wala unachoandika sio utani.

Nilipata vijana hapa Dar kipindi cha nyuma kabla sijawajengea hapo nilipanga chumba kijijini hapo nikawawekea vitu vya kula.

Mchele, unga, viungo (nyanya, karoti, kitunguu), dagaaa...

Siku moja nikapiga simu nikawauliza mko wapi? Wakasema wapo nyumbani, Leo hamjaenda kazini? Wakasema hawajaenda (wana njaa).. kwanini? Chakula mboga karoti zimeisha kuna nyanya na kitunguu tu hatujapika..

Nikagomba pale ikaisha, Siku ingine wakaniletea Kubwa KULIKO wamechoka UGALI na WALI wamekinai wanaomba Hela wanunue Ndizi labda au vyakula vingine.

KESHO yake wote walikuwa wanawasiliana kwenye simu, Mmoja akiwa anaelekea MBEYA kwao mwingine MBAGALA huko...
Siku zote ukitaka kumchukulia mtu kama mtumwa,utahangaika. Mfano wa msaidizi wa kazi za ndani. Ukimnunulia nguo unaponunulia wanao,lotion au mahitaji yake mara moja moja, atakaa. Lakini yeye awe ndo wa kula viporo,TV yako haruhusiwi kuangalia, mara nyumba kubwa marufuku kukanyaga kama si wakati wa usafi,kuna mimama mingine wakipika nyama ndo inaingia jikoni yenyewe,na haimpi nyama hiyo,atakaa?
Sasa na wewe,ulitakiwa ukae nao kabla ya kuwapeleka,uwasikilize wanatakaje, na wewe uwambie umejipangaje,muelewane. Ikitokea umeenda, wachukulie hata makande, hata kilo ya nyama wape. Sasa ukisema mi nimepanga kuwa nawapa laki haizidi,umesahau na umri wao?
Kazi kama hizo wanafaa watu wenye familia,waulize wanaweza kufanya nini wakiwepo kujipatia chochote na wao,kama wanalima,sapoti hata mbegu. Uone kama hutofurahia uwepo wao. Ubaili ukizidi,nomaa
 
Ukiona Mtu Amefanikiwa Kapambana Kila Sehemu Vikwazo
Upewe Chakula Chekwaa Na Nyumba Halafu Kazi Hutaki Kufanya
Lazima Mambo Ya Chande Yatokee
 
Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika.

Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika.

Nyumba imekamilika inayofaa kuishi binadamu aliekamilika.

Chakula: Juu yangu muajiri
Mshahara: Makubaliano

View attachment 2813408View attachment 2813408

Picha hapo Juu ni nyumba iliyo Shamba.

Nimeipiga picha nikiwa shamba/kiwanja cha jirani ambae yeye tayari kwake ni kusafi. Ukiangalia hiyo picha kuna eneo halina majani hapa mwanzo, hiki ni kiwanja/shamba cha mtu mwingine yeye kashajenga shamba lake safi kiwanja kimenyooka kama Azam Complex.

Na Kijana ninae mtaka ndio nataka aondoe ile nyumba kutoka kati kati ya majani alime kote kipatikane kiwanja kisicho na majani Nyumba ikae hapo kati. Jukumu kubwa ni hilo usafi wa kiwanja muda wote jani lisiote hata 1.

NOTE: Akitokea mtu na familia yake anataka kukaa huku anakaribishwa, mshahara tutakubaliana, chakula juu yangu muajiri. Ruksa ukitaka kulima, ruksa ukitaka kufuga, ruksa kufanya chochote.

Muhitaji alie serious tu karibu inbox.
Umepata?
 
Shamba lipo hapo Wilaya ya Kisarawe. Majukumu ya kijana ni kuweka mazingira sawa, kulima na kuhakikisha majani hayaoto kwenye shamba husika.

Shamba ni la heka 2, halijapandwa zao lolote lina majani. Kuna nyumba katikati ya shamba ambayo ndio makazi ya kijana husika.

Nyumba imekamilika inayofaa kuishi binadamu aliekamilika.

Chakula: Juu yangu muajiri
Mshahara: Makubaliano

View attachment 2813408View attachment 2813408

Picha hapo Juu ni nyumba iliyo Shamba.

Nimeipiga picha nikiwa shamba/kiwanja cha jirani ambae yeye tayari kwake ni kusafi. Ukiangalia hiyo picha kuna eneo halina majani hapa mwanzo, hiki ni kiwanja/shamba cha mtu mwingine yeye kashajenga shamba lake safi kiwanja kimenyooka kama Azam Complex.

Na Kijana ninae mtaka ndio nataka aondoe ile nyumba kutoka kati kati ya majani alime kote kipatikane kiwanja kisicho na majani Nyumba ikae hapo kati. Jukumu kubwa ni hilo usafi wa kiwanja muda wote jani lisiote hata 1.

NOTE: Akitokea mtu na familia yake anataka kukaa huku anakaribishwa, mshahara tutakubaliana, chakula juu yangu muajiri. Ruksa ukitaka kulima, ruksa ukitaka kufuga, ruksa kufanya chochote.

Muhitaji alie serious tu karibu inbox.
Naomba hiyo nafasi kaka 0655989284
 
Sio uongo na wala unachoandika sio utani.

Nilipata vijana hapa Dar kipindi cha nyuma kabla sijawajengea hapo nilipanga chumba kijijini hapo nikawawekea vitu vya kula.

Mchele, unga, viungo (nyanya, karoti, kitunguu), dagaaa...

Siku moja nikapiga simu nikawauliza mko wapi? Wakasema wapo nyumbani, Leo hamjaenda kazini? Wakasema hawajaenda (wana njaa).. kwanini? Chakula mboga karoti zimeisha kuna nyanya na kitunguu tu hatujapika..

Nikagomba pale ikaisha, Siku ingine wakaniletea Kubwa KULIKO wamechoka UGALI na WALI wamekinai wanaomba Hela wanunue Ndizi labda au vyakula vingine.

KESHO yake wote walikuwa wanawasiliana kwenye simu, Mmoja akiwa anaelekea MBEYA kwao mwingine MBAGALA huko...
Dah
 
Back
Top Bottom