The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuqa wanajamvi!
Kijana mdogo 'Ontario wa Uingereza' mwenye miaka 20 Garvin Singh mwanachuo Uingereza anayesomea udaktari kaliza watu zaidi ya pauni za uingereza million 3 kwenye Forex aliyoianzisha kwenye Instagram na WhatsApp.
Dogo huyo aliyeanzisha Forex yake kwenye Instagram na WhatsApp na kukamata njemba (traders) zaidi ya1000 na kuwaingiza chaka aliingia na gia ya 'get rich quick'.
Inaaminika Dogo Garvin Singh aliweza kuwashawishi njemba kama 1250 kujiunga kwenye Forex yake hivi kwa picha alizopiga akiwa kwenye Ferari na private jet na maisha yake ya anasa na kusafisha account zao usiku wa kuamkia krismasi 2019.
Dogo alipoanzisha aliwaaminisha kuwapanga na kuwaahidi Forex yake ni halali imesajiliwa na watakuwa wanatoa pauni 300 kwa siku iyo ni faida. Na kweli ikawa hivyo kwanivmambo yalienda vizuri sana kwa miezi wakawa wanapata faida na wengi wakawashawishi wengine kujiunga.
Ila ghafla baadaye mambo yakaanza kuharibika nakuona hela kwenye account zao zikipungua.
Lakini dogo akawapooza na kutoa visingizio kuwaambia mambo yatakuja kuwa freshi hadi march mwaka huu hii ni kwasababu ya Brexit.
Lakini ilipofika usiku wa kuamkia krismasi traders wakakuta account zao sifuri na dogo kukata mawasiliano kabisa.
Dogo akakomba zaidi ya pauni million 3.5 za watu ambao wengi wao ni miaka 18-25 waliodai wamepteza maelfu ya pauni hela za familia, walizokopa na student loan.
Ikumbukwe pia sisi tulikuwa na Ontario wetu naye aliingia humuhumu Jamvini na kuuliza watu kwenye Forex na kuwaingiza chaka.
Siyo vizuri kuwachukulia watu hela zao kitapeli na kujifanya mjanja.
Pia ina huzunisha Mwanaume kumkabidhi mwanamme mwengine hela zako kiulainii na kwa hiari.
Tuweni makini sana kwenye hela zetu.
Soma zaidi hapa chini:
www.dailymail.co.uk
Kijana mdogo 'Ontario wa Uingereza' mwenye miaka 20 Garvin Singh mwanachuo Uingereza anayesomea udaktari kaliza watu zaidi ya pauni za uingereza million 3 kwenye Forex aliyoianzisha kwenye Instagram na WhatsApp.
Dogo huyo aliyeanzisha Forex yake kwenye Instagram na WhatsApp na kukamata njemba (traders) zaidi ya1000 na kuwaingiza chaka aliingia na gia ya 'get rich quick'.
Inaaminika Dogo Garvin Singh aliweza kuwashawishi njemba kama 1250 kujiunga kwenye Forex yake hivi kwa picha alizopiga akiwa kwenye Ferari na private jet na maisha yake ya anasa na kusafisha account zao usiku wa kuamkia krismasi 2019.
Dogo alipoanzisha aliwaaminisha kuwapanga na kuwaahidi Forex yake ni halali imesajiliwa na watakuwa wanatoa pauni 300 kwa siku iyo ni faida. Na kweli ikawa hivyo kwanivmambo yalienda vizuri sana kwa miezi wakawa wanapata faida na wengi wakawashawishi wengine kujiunga.
Ila ghafla baadaye mambo yakaanza kuharibika nakuona hela kwenye account zao zikipungua.
Lakini dogo akawapooza na kutoa visingizio kuwaambia mambo yatakuja kuwa freshi hadi march mwaka huu hii ni kwasababu ya Brexit.
Lakini ilipofika usiku wa kuamkia krismasi traders wakakuta account zao sifuri na dogo kukata mawasiliano kabisa.
Dogo akakomba zaidi ya pauni million 3.5 za watu ambao wengi wao ni miaka 18-25 waliodai wamepteza maelfu ya pauni hela za familia, walizokopa na student loan.
Ikumbukwe pia sisi tulikuwa na Ontario wetu naye aliingia humuhumu Jamvini na kuuliza watu kwenye Forex na kuwaingiza chaka.
Siyo vizuri kuwachukulia watu hela zao kitapeli na kujifanya mjanja.
Pia ina huzunisha Mwanaume kumkabidhi mwanamme mwengine hela zako kiulainii na kwa hiari.
Tuweni makini sana kwenye hela zetu.
Soma zaidi hapa chini:
'Get rich quick Instagram 'trader' 'frauds more than 1,000 out of £3m'
EXCLUSIVE: Student Gurvin Singh, 20, of Plymouth, is believed to have convinced 1,250 people to join his 'copy trading' scheme with social media pictures of his jet-setting lifestyle.