Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Upepo wa Pesa,
Hapana sio kila anaepiga picha kwenye hotel ni tapeli. Nami naomba nawewe utumiw akili yako. Hii mada imejikita zaidi kuhusu hawa wanaoshawishi watu kwa kupiga picha hizo sehemu ili kuwatapeli.
Hebu jiongeze acha ubishi
Hapana sio kila anaepiga picha kwenye hotel ni tapeli. Nami naomba nawewe utumiw akili yako. Hii mada imejikita zaidi kuhusu hawa wanaoshawishi watu kwa kupiga picha hizo sehemu ili kuwatapeli.
Hebu jiongeze acha ubishi