Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili swali ua najiuliza sanaKwani mkuu mtu anawezaje kuwithdraw hela Kwenye account yako ya broker wakati wewe unampa password za trading platform tu kama metatrader??
Ndomana sielewi wanaosema wametapeliwa....au labda walimpa hela mwenye account yake awachezeeIli swali ua najiuliza sana
Una akili za kitoto.Acha porojo wewee myebusi umeletewa picha bado unalialia.
Kamoooonnn
Bwana mdogo watch your mouth. Usije ukanilazimisha nikutamkie neno baya kwako ikawa laana ya kudumu!
Una akili za kitoto wewe.Bwana mdogo watch your mouth. Usije ukanilazimisha nikutamkie neno baya kwako ikawa laana ya kudumu!
OngezeaHakuna utajiri wa haraka ndugu zangu..lbda kwa wanawake tu.
Mwanaume ulishaambiwa lazima utoke jasho yaani ule msoto wa maana kiakili au kimwili.
Daah bongo nyosoOntario Wa uingereza.
Ontario Wa Bongo.
Ontario wa SA.
Ontario Wa kolomoje.
Ontario Wa bukinabe.
Ontario Wa Naija.
Ontario Wa Copenhagen.
Ontario Wa US.
Ontario wa SSM.
Ontario Wa Buza!!!!
Hawa wote ni maontario hatari sana duniani hawana tofauti kabisa,jaribuni kujikinga nao kwa kuvaa headphone kila wanapotaka kutoa speech zao za kitapeli tapeli.
Hahaha tumetia timu mzee baba kwani unasemaje[emoji34][emoji34][emoji34]Vijana wa Ontario hawajafika kwenye huu uzi bado??
Ahgh mkuu Forex kutamu bwana njoo ule pesa za bure ..uko zako kitandani uku una download pesa bila jasho ..mbona simpo sanaSijawahi kudanganyika wala kushawishika na hizi biashara
Jr[emoji769]
Sasa ukishampa pass word za akaunti mbna ni simpo tu ..ana login kama kawaida Si tayari ana password kisha anaingia kwenye akaunti ya broka unayemtumia anaweka email yake na na namba ya Siku kama inawezekana kosha anavuta mkwanja kiulaini tuKwani mkuu mtu anawezaje kuwithdraw hela Kwenye account yako ya broker wakati wewe unampa password za trading platform tu kama metatrader??
Sio kweli. Kuna account mbili nikiwa,na maana kuna main ambayoo ni site yenyewe ambayo hutakiwi kumpa,mtu na mt4 bdo unaweza,mpa mtu na asichukue pesa na,hata wezaaSasa ukishampa pass word za akaunti mbna ni simpo tu ..ana login kama kawaida Si tayari ana password kisha anaingia kwenye akaunti ya broka unayemtumia anaweka email yake na na namba ya Siku kama inawezekana kosha anavuta mkwanja kiulaini tu
Sent using Jamii Forums mobile app