Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Leo hii mtu ukimwambia uchawi na kufanya kazi mochwari ni dili atakushangaa sana, why?Sijawahi kudanganyika wala kushawishika na hizi biashara
Jr[emoji769]
Soma vizuri posti yake na uelewe alichoandika.hajazungumzia kupiga picha tu
point yake ni kupiga picha daily kwenye hayo mahotel mara showroom kama Tunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio kila anaepiga picha kwenye hotel ni tapeli.
Wewe jamaa bana dah unamambo ya ajabu kweli umekomalia mama, mama..yani mama ndo apige picha ya mapumziko na kuifanyia promo mitandaoni?
Kwani hapa unajadiliwa utapeli au mapumziko ya mama?Hii ndilo jibu sahihi.
Na hapa ndipo ninapo pingana na jamaa hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mama/baba/shangazi/dada hawezi kupiga picha za kumbukumbu na kuposti mtandaoni?Wewe jamaa bana dah unamambo ya ajabu kweli umekomalia mama, mama..yani mama ndo apige picha ya mapumziko na kuifanyia promo mitandaoni?
Hembu kuwa bana acha utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona hili suala lipo wazi sana asee. Yani alichomaanisha mng'ato ni kuwa hawa jamaa wanaokushawishi kuwa unaweza kupiga pesa chap chap na kuishi maisha safi kama wao (hapo ili uone kweli ni maisha safi ndio atakuonyesha mapicha ya kifahari akiwa kwenye mahotel au magari mara private jets n.k). Point ilikua hiyo.
Mimi mwenyewe kuna kipindi nashawishiwa kujiunga na Forever Living ile mara ya kwanza tukaalikwa kwenye nyumba moja ya kifahari sana Mbezi Beach tukala chakula bufee moja matata kisha tukaonyeshwa picha wahusika wakiwa vacation Hawaii mara Maldives. Yani ndio njia matapeli wanazotumia kama chambo chakunasia watu.
hajazungumzia kupiga picha tu
point yake ni kupiga picha daily kwenye hayo mahotel mara showroom kama Tunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sio kila anaepiga picha kwenye hotel ni tapeli. Nami naomba nawewe utumiw akili yako. Hii mada imejikita zaidi kuhusu hawa wanaoshawishi watu kwa kupiga picha hizo sehemu ili kuwatapeli.
Hebu jiongeze acha ubishi
Wewe jamaa bana dah unamambo ya ajabu kweli umekomalia mama, mama..yani mama ndo apige picha ya mapumziko na kuifanyia promo mitandaoni?
Hembu kuwa bana acha utoto
Sent using Jamii Forums mobile app
1) Nikuu sehemu ambapo ONTARIO alisema Forex ni utajiri wa shortcut
2)Niletee picha ambayo ONTARIO alipiga kwenye magari na ndege akiwaaminisha watu.
IDIOT
Sent using Jamii Forums mobile app