Acheni wivu mtu kama tajiri wacha ale bata kama Irene Owoya anamiliki hotel 5 star (Kempinski na Mt. Meru) sasa akipiga picha kwenye mali zake anakuaje tapeli?
naomba mod msinipige ban nataka nitoe ushahidi kwa picha ili hili lieleweke1) Nikuu sehemu ambapo ONTARIO alisema Forex ni utajiri wa shortcut
2)Niletee picha ambayo ONTARIO alipiga kwenye magari na ndege akiwaaminisha watu.
IDIOT
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa mantiki.naomba mod msinipige ban nataka nitoe ushahidi kwa picha ili hili lielewekeView attachment 1336514View attachment 1336518View attachment 1336520View attachment 1336522View attachment 1336525
Sent using Jamii Forums mobile app
naona umepaniki sana mdogo angu vipi ushapata nauli yakwenda mikoaniSijaelewa mantiki.
Nimesema leta picha alizoaminisha watu kuvuta forex, mbona hizo picha hazina uhusiano na nilichouliza hizo ni picha za kawaida za page yake.
Lete picha alizorusha humu akiwa hotel akasema nimeenda hotel hii kwasababu ya FX.
Hilo gari ni gari lake na yupo nayo sehemu nyingi hapa mjini mpaka Dom nishawai muona na gari yake hiyo kwenye foreni unataka kusema hana uwezo wakununua hiyo Discover 4.
Jamaa ameleta FX 2017, pitia picha na lifestyle yake kabla 2017 je hana lifestyle hiyo ulivyoona.
TUWE NAHOJA SIO KUFA MIKUMBO KAMA NG'OMBE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Point yapili imefanyaje andika hoja zenye ujazo sio misamiati miwili...imefanyaje?
Mkuu unajua wewe mmoja wa ninayewakubali na bado mimi na wewe bado tupo kwenye stage ya kuHustle tu sasa mambo yakufuata mikumbo sikuashauri angalia kitu gani sahihi kwaupande wako.naona umepaniki sana mdogo angu vipi ushapata nauli yakwenda mikoani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni ONTARIOWhatever the case, truth is forex is not a scam.
Ila shida ni kwamba kwenye kila biashara matapeli huwa hawakosekani. ONTARIO usimfananishe na huyo dogo wa Uingereza.
Tena ONTARIO ni wa kushukuriwa sana maana alifanya jamii ikajua biashara hii adimu ambayo kweli mabenki na mabwanyenye wengi walikuwa hawataki watu waijue.
Forex inaendeshwa kama stock market [mfano kwa hapa Tz tuna DSE] japo kuna utofauti kidogo sana.
Tatizo lililopo ni kwamba forex inahitaji ule shule ya kutosha plus ufuate risk management plus uwe mvumilivu vitu ambavyo vijana wengi hawaviwezi na ndipo wanaangukia mikononi mwa hao matapeli.
Ni kosa sana tena ni upumbavu kumpa mtu pesa yako eti akutredie, big mistake.
ONTARIO atabaki kuwa juu na Mungu ambariki kwa kuileta hii fursa level za chini kabisa kwa enterpreneurs wadogodogo.
Japo anaweza akawa na mapungufu yake lakini huwezi anza kumfananisha na hao matapeli.
Unforgetable
Hahah chalii angu uko vzr.naomba mod msinipige ban nataka nitoe ushahidi kwa picha ili hili lielewekeView attachment 1336514View attachment 1336518View attachment 1336520View attachment 1336522View attachment 1336525
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliii, sema inasound good[emoji851]
Hii inanikumbusha DECI ya Watanzania.Duuuuu... Bab kubwaOntario Wa Uingereza Daaah!! Hahahahahahahhahahaha
Kwani mkuu mtu anawezaje kuwithdraw hela Kwenye account yako ya broker wakati wewe unampa password za trading platform tu kama metatrader??Hawawezi mfunga mtu kama huyu maana kufanya copytrading ni risk mtu unachukua mwenyewe, waliompa access ya account ndiyo wajinga, kama amewithdraw na kukimbia na hela then anaweza fungwa, ila kama amefanya bad trades hela ikapotea then hawezi kulaumiwa maana copy trading ukiingia unakua umekubaliana na risks zote wewe mwenyewe. Ni good business ila you must know the risk kabla ya kuingia, trading ni gambling tu, unless una insider information so invest only what you are willing to lose.
mkuu kati ya watu nawafuatilia kwa ukaribu sana hapa jf ni wewe. na naamini una spirit flani ya kiutaftaji na kujiongeza lakini kati ya vitu nakuona vinakukwamisha mojawapo ni hili la kusikiliza zaid hawa motivation speaker kuliko kutenda.Mkuu unajua wewe mmoja wa ninayewakubali na bado mimi na wewe bado tupo kwenye stage ya kuHustle tu sasa mambo yakufuata mikumbo sikuashauri angalia kitu gani sahihi kwaupande wako.
Hilo la mkoa nisha cancel nina dili nalingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap andiko zurimkuu kati ya watu nawafuatilia kwa ukaribu sana hapa jf ni wewe. na naamini una spirit flani ya kiutaftaji na kujiongeza lakini kati ya vitu nakuona vinakukwamisha mojawapo ni hili la kusikiliza zaid hawa motivation speaker kuliko kutenda.
kama unakumbuka nilishawahi kukoment kwenye uzi flani wa motivation speaker nikakuuliza "vipi ushafungua car wash?"
lengo ni kukumbusha kwamba inatakiwa utende zaid kuliko kusikiliza
mtu gani unawasikiliza motivation speaker toka 2016 mpaka leo hamna ulichokifanyia kazi?
hawa motivation speaker wanajinasibu kuwa wana ukwasi sana na iweje waandae semina kisha wakudai 40k kama kiingilio?
sibishi kuwa ontaio ni mpambanaji sana lakini siungi mkono baadhi ya njia anazozitumia kama alivoanzisha TMT na kisha kutokomea mbali nakutokujibu wazi tuhuma zinazomkabili then akaikimbia account yake hapa jf ya ONTARIO
mkuu fuatilia hawa watu then changanya na zako
Sent using Jamii Forums mobile app
good answer but hapo mwishoni ilikuwa ni wito kwa wasomaji sikukulenga wewe but jaribu kufocus kwenye jambo moja then ikamie utatoboa hawa akina nani nani sjui ukiwasikiliza na kuwafat utapoteaYaap andiko zuri
Sio msikilizaji bila kutenda mkuu vitendo nifanya sana ila sijafika pakubwa changamoto nyingi na Carwash ni Goal yangu ya kati tu ambayo sijaifikia.
Mwaka ulioisha ndio nilitenda sana nilipanga nifunge mwaka hata na biashara mbili ila changamoto zimenirudisha nyuma Wezi waliniibia vifaa vya kazi, ikaja tena kifaa kikubwa kika ungua ukizingatia mtaji ndogo ikanirudisha nyuma hadi sasa nime kwama kwenye biashara moja ambayo haina mafanikio kabisa.
So mkuu unaposema sitendi siokweli una detrmine kwa ku-observe Carwash hapo inakuwa sio kweli.
Alfu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] wapi umenikuta nasikiliza MSpeaker akafu tangu 2016 duu mbona uwo mwaka minilikuwa sijui hata nafanya nini maishani.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani mkuu unasema watu waachane na Motivation Speak tena hapohapo unaweka motivational Speaker.good answer but hapo mwishoni ilikuwa ni wito kwa wasomaji sikukulenga wewe but jaribu kufocus kwenye jambo moja then ikamie utatoboa hawa akina nani nani sjui ukiwasikiliza na kuwafat utapoteaView attachment 1336867
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mtu yoyote anaekunyonya lazima akupe maneno matamu matamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani mkuu unasema watu waachane na Motivation Speak tena hapohapo unaweka motivational Speaker.
Basi tuyaache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbrrrrrrrrr mbrrrrr mbrrrrrr aiiii pata uhondo wa ooshooz Mbusii wewee
Mbrrrrrrrrr mbrrrrr mbrrrrrr chukua iyo mkaldayoJinga wewe,