Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mpeleke kwa Mwaposa akakanyage mafutaa(jokes aside)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama mamaake unakesha jf kuendekeza siasa na kuwatetea kina Mbowe unategemea uwape watoto wako malezi bora kweli?
Na uhakika hapo ulipo wewe ni single maza, maana hakuna mwanaume atakubali kukaa na mwanamke anaekesha kuwatetea kina humu jf!
[emoji3][emoji3][emoji3]Junia bhanaMom ndo umeamua kunishtaki huku..? I swear i will tell my daddy today na sili siku tatu mfululizo
Jokes aside kwamba unamaanisha?Mpeleke kwa Mwaposa akakanyage mafutaa(jokes aside)
Mkuu tabia hizo unazosemannadhan ziko applicable kwa wenzetu .. dunia ya 3huku mbona Kama unakuwa mtumwa tu..!unajikuta unalost
Ameniudhi sana! Huwa namuona humu akichambua mambo nafikiri ana akili kukbe zero, ameshindwa hata malezi,Tulia wewe MATAGA kila sehemu ni siasa. Buku 7 zinakutoa akili.
Sasa si unaona mamaake anashinda humu kupambana na lumumba kumbe nyumbani kwake malezi yanaenda komboBora anacheza gemu, angejiunga Lumumba angekuwa anashinda humu anapambana na makamanda..
- GPA yake inasomaje?
-Umemtengenezea mfumo wa kuwa na majukumu ndani ya siku yake ?
-Ana aina gani za marafiki ?
Huyo mlimdekeza toka akiwa mdogo, samaki mkunje angali mbichi ila mtoto hakui kwa wazazi wake. Lazima muanze kumpa majukumu hata kukata majani ya ng'ombe au kusimamia shughuli za kilimo au biashara kama mnazo. Tatizo mnemzawadia mengi kuliko mazuri aliyoyafanya, mwisho wa siku mkiendelea kubembeleza hivi atakuwa ni mzigo tu kwenu.