Kijana wangu anakesha kwenye games analala alfajiri

Kijana wangu anakesha kwenye games analala alfajiri

Ameniudhi sana! Huwa namuona humu akichambua mambo nafikiri ana akili kukbe zero, ameshindwa hata malezi,

Kijana wa mwaka wa pili chuoni anahitaji maelekezo ya wazazi juu ya maisha yake kweli?

Hivi siku hao wazazi wakatoweka ghafla duniani hilo likijana unategemea litakuwa na maisha ya namna gani?

Yani hilo utakuta hata nguo linafuliwa

Hana mtoto mkubwa hivyo anafurahisha genge tu ni vijistory anavitoa huko kwenye vibaraza vya Saloon. Ndiyo zake hizo.
 
Sasa kama mamaake unakesha jf kuendekeza siasa na kuwatetea kina Mbowe unategemea uwape watoto wako malezi bora kweli?

Na uhakika hapo ulipo wewe ni single maza, maana hakuna mwanaume atakubali kukaa na mwanamke anaekesha kuwatetea kina humu jf!
Hahaahaaaa aiseee hahaha
 
Duh!
Kama mdogo angu wa mwisho[emoji119][emoji119]
Ni shida,sa kumi na mbili asubuhi ndo analala!

Nafikiri kuanza maombi rasmi!
Hii ni addiction km zilivyo addiction nyingine!
Sio nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzoeshe library kama mama Ben Carson
 
Mwaka wa pili mbona mkubwa huyo.Ila hawa watoto wa familia zenye uwezo huwa wanachelewa kukomaa kifikra.
Ila kagemu katamu nakumbuka mimi enzi hizo nilikuwa natoroka kanisani naenda kucheza gemu na marafiki zangu.Nakumbuka siku hiyo wazazi wetu waliamua kutufungia kazi nafikiri baada ya kututafuta kanisani na kutukosa.Sisi tumemaliza kilichotupeleka tukawa tunarudi kanisani japo mimi nilikuwa naenda kwa tahadhari sana maana Bi'mkubwa akichukia namfahamu.Hiyo njia ilikuwa ni mteremko halafu nilikuwa nina njaa kweli kwa hiyo nikawa nashuka kinyonge.Ile tumefika kona fulani hivi nikaona rangi ya nguo ya mama sura sikuiona ila sikuelewa nguvu niliipatia wapi maana nilipandisha ule mwinuko kama bajaji.Yaani kitendo cha hao wazazi wengine kuonana na watoto wao mimi tayari nishapotea mazingira yale.Mzazi wangu akarudi kapa ila wengine wakawapata wabaya wao. Nikategeshea muda wa kutoka kanisani ufike ndipo nikarudi.Katoka akanikuta nje,swali la kwanza ulikuwa wapi? Nikajibu ndani.Mbona nimekutafuta sijakuona? Nikamwambia hata yeye sikumuona.Walifundisha nini? Nikaanza kumhadithia vipindi vya toka asubuhi hadi pale nilipotoroka.Naye hakuchunguza sana akakubali.Nikaponea chupuchupu siku hiyo.
Ila kuna wakati haya madude utayacheza sababu ya mizuka tu ila kuna muda utafika utayachoka na kuanza kuwaza mambo mengine maana muda haukusubiri.Kama mimi sikumbuki ni lini nimeshika gemu kucheza japo ninalo.Naye atafikia hiyo hatua muda si mrefu halafu uzuri ni mtu mzima.Angekuwa mtoto hiyo ndo ingekuwa tabu.
[emoji2][emoji2][emoji2] nimecheka hapo ulipogeuka bajaji
 
Mnambembeleza kupitiliza. Hapo MAWILI ama achague kusikiliza ninachosema au akaishi huko kwenye hizo games. Mtoto hata umkaangie debe la mayai usidhani unamsaidia fikiria siku haupo duniani.
NB: Mimi nampenda Sana mwanangu Ila akizingua anapata bakora za kumtosha nikirudi tunafanya wote homework (yupo primary) usiku wakat mwingine hadi saa 7 wakat namalizia kazi zangu.

Siyo kweli fimbo si suluhisho.

Fimbo na aina nyingine za corporal punishment ni akili za kikoloni zilizoletwa na dini. Aisee nachukia mtoto akipigwa fimbo hatari.

Sisi waafrika tulikua hatupigi fimbo watoto wetu kama wanyama (hata wanyama ni marufuku kuwapiga fimbo kama maguni ya mahindi)

Nimeishi na indigenous Hadza people kamwe hawawachapi bakora watoto wao.

Hii mambo ya kupigana mabakora imetokea wapi?

Ni kwamba babu yako alichapwa bakora na mkoloni, na yeye akaona ni sawa basi akaenda nyumbani akaanza kutandika watoto bakora.

Wewe ukikosea nani anakutandika bakora?

Unakuta mtoto ameangusha sahani eti unamchapa. What the f**ck?

Wewe ni mzazi tu si mmiliki wa huyo mtoto.

Kazi yako ni ku-support dream yake tu. Vinginevyo una jaribu tu ku-force dream jinsi ya kuisha maisha kitu kinachoweza kuwa mistake kubwa sana.
 
Games addiction yake mbaya nyie isikieni tu.😀

Nafikiri kwa sababu anakula na kulala bure. Njaa ingeuma unakumbuka kuna gharama zinatakiwa kulipiwa. Unajikuta automatic unaweza kujicontrol.
Ila games tamu nyie hasa ukijua kuzicheza😀
 
Bosi wangu anapenda sana kucheza gemu la karata ofisini. Lile la kumvua nguo dada wa kizungu, sijui kama vijana wanalijua.

Unacheza..ukipata anavua blauzi, unacheza tena ukipata anavua sidiria...hadi mwisho anavua zote. Huyu bosi anakaribia kustaafu.

Ushauri: muache mtoto awe busy na game kuliko kwenda kunywa pombe na kuishia kuwa malaya wa kula tund kimasihara.
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?

There has to be a limit for each and everything. Stand like a father. Apart from guiding him he might be needing professional mental, psychological or spiritual help.
 
Ameniudhi sana! Huwa namuona humu akichambua mambo nafikiri ana akili kukbe zero, ameshindwa hata malezi,

Kijana wa mwaka wa pili chuoni anahitaji maelekezo ya wazazi juu ya maisha yake kweli?

Hivi siku hao wazazi wakatoweka ghafla duniani hilo likijana unategemea litakuwa na maisha ya namna gani?

Yani hilo utakuta hata nguo linafuliwa


Ila mdogo wangu mnyalu una stress Sana! Mie nikupe pole tu!..na kweli life la sky na lako ni mbingu na ardhi
 
Mkuu ndiyo mtazamo wa vijana wa wakati huu huo. Hii haiepukiki kwasababu vision, dreams na matamanio yao ni tofauti sana na ya wazazi.

Hapa nazungumzia vijana wanaotoka familia “upper middle class” kwa Tz standards.

Hapa Arusha most youths are like this. They spend most of time on the Internet. They dream big, very BIG. Unaweza dhani wamechanganyikiwa. But who are you to stop them from dreaming big and go after what they love most in life?

Kuwafanya wafanikiwe ni kuwa-support zaidi kama uwezo upo kwasababu vinginevyo utaanzisha migogoro.....atapata depression na hato kusikiliza tena hata ufanye nini.

Huyo Sky azidi tu kwenda naye fair kwasababu inaonyesha ndiyo life style yao hapo home.


It's true!
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?
Anasoma chuo kipi kijana wako?

Kama sikosei vijana wako chuo wiki ya pili kama sio ya tatu sasa ,wenzao wa sekondari na msingi wapo njiani kurudi masomoni.
 
Kama maendeleo yake ya kimasomo yako sahihi haina ubaya wowote yeyey kupenda game, shukuru tu anapenda games kuna watoto wengine angekua analala anaangalia mitandao ya mambo yasiyofaa. Atakapokua na majukumu atajikuta anapunguza mwenyewe, mbona hata watu wazima unapokua na nafasi unacheza game vizur tu na unarefresh akili.
 
Back
Top Bottom