Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madam na visa vyako vya kwenye vibaraza vya Saloon.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madam na visa vyako vya kwenye vibaraza vya Saloon.
Haha kwenye hatari unaweza kubadilika kuwa hata ndege ukapaa.Acha kabisa![emoji2][emoji2][emoji2] nimecheka hapo ulipogeuka bajaji
Mie nilishangaa kuskia mama Samia anampenda kucheza hizo games!.nikajiona Mimi nna shida
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa dada maisha sawa yako tofauti ila kaniudhi sana kutuomba ushauri juu ya mtoto wake wa mwaka wa pili chuo!Ila mdogo wangu mnyalu una stress Sana! Mie nikupe pole tu!..na kweli life la sky na lako ni mbingu na ardhi
Mie nilishangaa kuskia mama Samia anampenda kucheza hizo games!.nikajiona Mimi nna shida
Bila shaka huyu kijana atakua anasoma abroad kulingana na hapo aliposema anarejea september na ilikua anasoma online, vyuo vingi vya nje huwa ndio miezi yao ya kuanza masomo.Anasoma chuo kipi kijana wako?
Kama sikosei vijana wako chuo wiki ya pili kama sio ya tatu sasa ,wenzao wa sekondari na msingi wapo njiani kurudi masomoni.
sio kwelMalezi yako yalikuwa mabovu tangu awali pole, games ni ugonjwa mbaya ukiunza hata masomo utakuwa hufaulu vizuri
Mnamdekeza sana kama hawasikilizi ktk hilo. Atandikwe kama hafuati maelekezo yenu.Tumesha ongea nae sana, tukiwa na baba yake haikusaidia
Wewe kwenu Misungwi huko utazijulia wapi!
Umenichekesha Sana yaani! Kila mtu maleZ yak[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa dada maisha sawa yako tofauti ila kaniudhi sana kutuomba ushauri juu ya mtoto wake wa mwaka wa pili chuo!
Yani inaonekana kamlea kimayai sana,!
Mama mtu mzima unapata wap mud wa kucheza games!..mie naangalia katuni na wanangu kwa shida Sana yaani!😀😀😀😀nifafanulie pls kwanini unahisi una shida?
Too much of anything is harmful, excessive gaming inaashiria kijana amekuwa addicted, kuna hatua huwa wanafikia inabidi apate msaada wa kitaalam ili aweze kuishinda hiyo addiction, tafuta professional counselors watamsaidiaNikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.
Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.
Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.
Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?
Kwanini ulikuwa unamnunulia? Wanawake baadhi ya wanaume hawajui malezi kwa watoto si mazuri wanawaletea zawqdi ambazo zinawaharibu watoto kama games nk, hafu mzazi mtoto hatakiwi kukudharau
Mama atakuwa anahisi labda mwanae hapigi shoo maana kila akienda akirudi mwanae yuko ndani na game tu hata ku chat chat hamuoni. Huo ndio wasiwasi wa mleta mada nadhani.[emoji38][emoji38]Bosi wangu anapenda sana kucheza gemu la karata ofisini. Lile la kumvua nguo dada wa kizungu, sijui kama vijana wanalijua.
Unacheza..ukipata anavua blauzi, unacheza tena ukipata anavua sidiria...hadi mwisho anavua zote. Huyu bosi anakaribia kustaafu.
Ushauri: muache mtoto awe busy na game kuliko kwenda kunywa pombe na kuishia kuwa malaya wa kula tund kimasihara.