Kijana wangu anakesha kwenye games analala alfajiri

Kijana wangu anakesha kwenye games analala alfajiri

Dada acha kumdekeza huyo mwanao ipo siku utakuja kunishukuru.
 
Sky naona jukumu lako umekamilisha bado mumeo tafadhali mkabidhi ili au ni baba matumizi hasiye jua malezi bora?

Huu ushaur wa wengi unahitaji nguvu ya kibaba

Mpeni kazi ya ziada ya ubongo pia ondoa hizo gemu home na mruhusu kucheza kwa simu yake au laptop
Chumba kisiwe chake kiwe cha familia nanyi muingie pia msilee mtoto kama mko ulaya au us kwamba kumkaripia au kumtisha ni kosa

Mwisho anzishen namna ya yeye ashare hobby zenu ili associliaze au neighboured tasks kama mtaa una nyumba ngapi? Familia ya jiran inawatu wangapi? Tafuta majina ya viongozi wa mtaa na nyumba zao zilipo nk
 
Si bora huyo anashinda ndani anacheza gemu enzi zangu mimi nilikua nashinda kwenye pornographic sites mpaka usiku wa manane nadowload videos za kutosha naangaliaaaa kisha nafanya masterbasion nazifuta zote nalala kesho tena hivyo hivyo mpaka likizo inaisha akili ilikuja kunikaa sawa nilivyompa mimba house girl wetu mzee mzee akanambia sasa umeshakua mtu mzima ujitegemee kwa kila kitu.
 
Mama yangu namkubali sana, hadi leo namaisha yangu ila nikienda home lazma nilime tuta zakutosha za mboga mboga alafu cha ajabu hela anachukua yeye akiuza.

Kama unalilia gawio la mauzo ya mbogamboga ni wazi maisha yako bado magumu sana, usione soni rudi nyumbani mama akulee upya.
 
Mama atakuwa anahisi labda mwanae hapigi shoo maana kila akienda akirudi mwanae yuko ndani na game tu hata ku chat chat hamuoni. Huo ndio wasiwasi wa mleta mada nadhani.[emoji38][emoji38]
Ha ha ha kweli mkuu
 
Japo huwa una vielement vya UCHADEMA na mimi siyo Mwana CCM sisi ni ndugu
Haya cdm, njooni huku dada yenu anaomba ushauri 😁😁😁😁
Mimi kwangu wana jf wote ni ndugu maana humu tuna katazana mabaya na kuhusiana kufanya mema kwa taifa.
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?

ameshajua kuendesha tayari.je gari utamnunulia lini?
 
Mama anakesha JF utadhani hana mume mtoto anashinda Games hii family ya moto
 
Wenzake wapo huko mtaani saivi wanakimbizana na wakina mwajuma ndalandefu wakina Asha kibegii wanasaka utamu yeye yupo ndani tu kajifungia utazani mwari [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mbona vyuo vimefunguliwa siku nyingi tu, au wakwako anasoma chuo gani na nchi gani?
 
Mwanafunzi wa mwaka wa pili unasema mtoto wako, Sema mwanao sio mtoto.

Mwanafunzi mwaka wa pili ni mkubwa sanaa tena unaweza kuta kawazidi umri hata baadhi ya wachangiaji wa huu Uzi na usishangae nayeye akawa himuhumu ana changia mada.

Jinsi ulivyoandika kama unamzungumzia mtoto wa Form 2 vile huyo ni MTU mzima anajua nini anafanya na kama ana malengo yake anajua kayapanga vipi na ayatimiaze vipi kwa wakati upi sioni tatizo kicheza game.

Vijana 95% wanapenda kucheza game endapo wakipata access ya vifaa vya kuchezea game, Mimi mwenyewe nimemisi COD Welfare, COD Black Out, Far Cry, GTA, Need For Speed nk nikipat pesa chapu nachukua PC inayo push game zote hizo.

Karne hii kijana siye kuwa addict na game nina mashaka kama anaweza akawaza malengo makubwa kweli, hao walofanikiwa kwenye nyanja ya teknoloji wote Jeff Bezos, Muck, Elon wato ni ma Gamers.
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?
Huyo hana kazi za kumuweka busy, games ndio kazi pekee anajua. Kama una shughuli za kufanya hapo nyumbani kama kazi za nje ya myumba mpeni. Msiweke mfanyakazi. Kama mna biashara au any economic activity ya familia muwekeni hapo.

Akijifunza nidhamu ya kazi na uhalisia wa maisha hizo game hatozifikiria kabisa. Muonyesheni UHALISIA wa maisha. Kwa sasa uhalisia wake huko kwenye VIRTUAL REALITY.

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?
nothing wron with that ilimradi tuu awe anatimiza majukumu yake nilikuwa mwaka wa pili nilikuwa nacheza ame sana mpaka saa kumi na moja but i graduated with 4.1 gpa average na sasa nina mishe zangu kibao na game kama kawaida nikpata muda nacheza hasa sasa hivi na install call of duty advvenced warfare kesho ijumaa usiku ndio kazi hiyo baada ya kutoka kazini
 
Nikiwa kama mzazi, nililea watoto kwa msaada wa dada huku nikiwa na majukumu mengine. Mtoto wangu wa kiume alipenda gadgets na kila siku yake ya kuzaliwa alichagua game au play station mpya. Kwakua alikuwa na bodi shuleni niliona hii ni kama asante yake ya kuitendea vyema ada tunayolipa na Baba yake.

Sasa yuko chuo anaingia mwaka wa pili. Chuo chao kilifungwa tangu March mwaka huu kwaajili ya corona lakini walipata online lectures na walituma kazi zao huko huko online.

Tangu aache kwenda chuo amekuwa ni mtu wa kujifungia chumbani kwake tu. Nilitumia nafasi hii kumlipia mafunzo ya udereva. Hii ilimhamasisha alikuwa na hamu ya kujua kuendesha gari. Tangu apate leseni amerudia tabia zake za zamani.

Mtoto anakesha kwenye michezo mpaka asubuhi. Huyu atakua raia wa aina gani? Ana miezi miwili ya kukaa nyumbani mpaka September atakapo rudi chuoni. Siku nifanye nini kukomesha hii tabia?
Mimi ningehitaji ufafanuzi kidogo kabla ya kuchangia
1. Anaumri gani
2. Anasomea kozi gani na level gani na maanisha Cheti, Diploma au Degree?
3. Hizo games ni wewe unamnunulia au anatumia internet unayolipia wewe?

Nikipata majibu ya hayo maswali rahisi nitachangia
 
Binafsi I wouldn't mind.

Dunia imechafuka Sana Sis. You can't even let your kid have friends without popping in to see what games they are playing.

I would be glad he is indoors doing something so harmless rather than be roaming the streets smoking weed or God knows what.

Let him be. If he is obedient and well behaved, let him be. Just give him chores and have him learn other new stuff.
 
Back
Top Bottom